Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
JK ameshindwa. Hilo analijua.
Kitendo cha kutumia wanajeshi wanafiki kuwatishia wananchi, kimechefua si tu Watanzania bali wahisani ambako huwa anapenda kwenda kufanya umatonya.
Tanzania siyo paradiso kiasi cha kuona utawala wa sheria unakiukwa hata wahisani wakafumba macho. Wanaweza kuipuuza nchi yoyote isiyoheshimu haki za binadamu na utawala wa sheria. Na wako tayari kwa hilo. Ndiyo sababu Kikwete anahaha: vitisho vya jeshi, meseji za uchochezi n.k. Tunajua unajua fika kwamba kuiba kura is not an option this time around. Na Watanzania tunataka mabadiliko.
Kwa hiyo Kikwete na wenzako msithubutu kuiba kura, au kuua raia kwa kisingizio cha kuingia madarakani. Utajuta kama Mugabe wa Zimbabwe.
Nasubiri Jumamosi utakapoanguka tena jukwaani, kesho yake Jumapili unaanguka wewe na utawala wako wa mafisadi.
Imekula kwako JK.
Kitendo cha kutumia wanajeshi wanafiki kuwatishia wananchi, kimechefua si tu Watanzania bali wahisani ambako huwa anapenda kwenda kufanya umatonya.
Tanzania siyo paradiso kiasi cha kuona utawala wa sheria unakiukwa hata wahisani wakafumba macho. Wanaweza kuipuuza nchi yoyote isiyoheshimu haki za binadamu na utawala wa sheria. Na wako tayari kwa hilo. Ndiyo sababu Kikwete anahaha: vitisho vya jeshi, meseji za uchochezi n.k. Tunajua unajua fika kwamba kuiba kura is not an option this time around. Na Watanzania tunataka mabadiliko.
Kwa hiyo Kikwete na wenzako msithubutu kuiba kura, au kuua raia kwa kisingizio cha kuingia madarakani. Utajuta kama Mugabe wa Zimbabwe.
Nasubiri Jumamosi utakapoanguka tena jukwaani, kesho yake Jumapili unaanguka wewe na utawala wako wa mafisadi.
Imekula kwako JK.