Kikwete: Tutawajibu wanaotusema!

Something must be wrong with kikwete!

Labda...

Lakini tujiulize, how do we behave under pressure?? Mheshimiwa amekuwa kwenye too much pressure kutokana na kuangushwa na waliomzunguka [kuanzia ikilu hadi mawizara]. kwakweli mimi namuombea afya tu maana pressure aliyonayo si ya kawaida kwa binadamu!!! tumeona Obama anavyostruggle sasa hivi na kila public address... Kikwete must be feeling the same pressure

Pole Mzee, lakini urais si lelemama na ndio maana;
ukigombea kisiasa,
utashinda kisiasa
na nchi utaongoza kisiasa,
tahamaki, urais si siasa!!!
 
hahaha huwa nikiwa nataka kucheka najaribu kuingia jf maana watu humu wako na character za aina mbali mbali kutokana na majibu yao mweeh!.....it is very restaurante!....LOL!
Madam, hii ni sehemu ya kutoa komenti na hoja za msingi na si sehemu ya vichekesho.
 
Labda...

Lakini tujiulize, how do we behave under pressure?? Mheshimiwa amekuwa kwenye too much pressure kutokana na kuangushwa na waliomzunguka [kuanzia ikilu hadi mawizara]. kwakweli mimi namuombea afya tu maana pressure aliyonayo si ya kawaida kwa binadamu!!! tumeona Obama anavyostruggle sasa hivi na kila public address... Kikwete must be feeling the same pressure

Pole Mzee, lakini urais si lelemama na ndio maana;
ukigombea kisiasa,
utashinda kisiasa
na nchi utaongoza kisiasa,
tahamaki, urais si siasa!!!
Inabidi apewe course ya "handling the job pressure" maana naona sasa anashindwa kujibu hoja kwa namna nzuri
 
Inabidi apewe course ya "handling the job pressure" maana naona sasa anashindwa kujibu hoja kwa namna nzuri

Mkuu lile li-institution gumu sana, hasa kama anadelegate halafu hashiki fimbo... delegation na accountability ni kama sura mbili za shilingi

Awe mkali mkulu tuona raha, wanamchezea sana watendaji
 
Kwa wale wanaojihita wapiganaji ambao wamekuwa wakitumia muda wao mwingi wakisema kuwa wanamsaidia RAis katika vita dhidi ya UFISADI nafikiri mpaka sasa hawana budi kusoma alama za nyakati na kujua kwamba wanakosea.

Wanamtwisha RAIS wetu mzigo yeye hayuko nao kabisa yeye yuko kivyake vyake. Kwa kifupi yuko na Makamba, Tambwe nk.

Watanzania tumepiga kelele sana hivi nini hatima ya nchi yetu? Wote wanao-ona mambo hayaendi vizuri wanaambia wana wivu na ni wehu tu (Haya ni majibu ya kihuni). Tunaambiwa Mambo yanaenda mdundo tu hila wanaolalamika ndio hawayaoni.

Inatakiwa watanzania wapenda nchi yetu wapenda maendeleo watoke na kusema sasa mzee haya usanii huu unatosha. Haina haja ya kukaa tunalialia.

Kwa kuanzia kama Richmonduli hakieleweki February wabunge kama wana nia nzuri na nchi hii piga chini serikali. Tuanze upya. Hivyo hivyo wale walioko CCM hakikisha huyu mtu harudi tena kwenye kinyanganyiro labda kama mtaona kuwa anapendwa na watanzania hata kama haleti maendeleo.

Mara zote hakuna mtu anayeweza kusema kuwa hawezi kama ameisha onja madaraka. Kinachotakiwa ni kumshauri kuwa mzee hapana inatosha. Kama vile Mzee Msekwa alivyo taka kuchukua form ya usipika 2005. Ni lazima mzee ashauriwe.
 
Mkuu lile li-institution gumu sana, hasa kama anadelegate halafu hashiki fimbo... delegation na accountability ni kama sura mbili za shilingi

Awe mkali mkulu tuona raha, wanamchezea sana watendaji
Nafikiri ile nafasi ya Pinda ampe Magufuli maana pinda kawa mpole sana, magufuli angewafagia hawa mawaziri wanao underperfom
 
Na Sadick Mtulya


"Kama nilivyosema kuwa nimedokezwa kidogo tu, lakini naomba muelewe kuwa huwezi ukamridhisha kila mtu kwani binadamu wamegawanyika katika sehemu tatu," alisema.

"Asilimia 15 watakupenda, asilimia 15 nyingine watakuchukia na asilimia 70 iliyobaki watabaki wanaangalia upepo unaelekea wapi hivyo tusubiri kuna maamuzi tutafanya," alisema Rais Kikwete.

.

Kwa hiyo kwa mtazamo wa JK asilimia 70% ya wanadamu wanafuata upepo. Mmmmh, this is new to me !
 
Nafikiri ile nafasi ya Pinda ampe Magufuli maana pinda kawa mpole sana, magufuli angewafagia hawa mawaziri wanao underperfom

Ukiacha UDINI naona una mawazo mazuri saana. Heshima kwa juu sana.

Hapa tuko pamoja. Nimekupa na Senkyu mkuu.
 
Labda...

Lakini tujiulize, how do we behave under pressure?? Mheshimiwa amekuwa kwenye too much pressure kutokana na kuangushwa na waliomzunguka [kuanzia ikilu hadi mawizara]. kwakweli mimi namuombea afya tu maana pressure aliyonayo si ya kawaida kwa binadamu!!! tumeona Obama anavyostruggle sasa hivi na kila public address... Kikwete must be feeling the same pressure

Pole Mzee, lakini urais si lelemama na ndio maana;
ukigombea kisiasa,
utashinda kisiasa
na nchi utaongoza kisiasa,
tahamaki, urais si siasa!!!


Hana pressure yoyote huyo anakula 'gud time' tu na kodi zetu. Akubaliane tu na hali kwamba kibarua kimemshinda akapumzike zake Chalinze aachie wenye vichwa waendeshe nchi. Tumechoka na ubabaishaji.
 
Ukiheshimu dini yangu na uislamu tutakuwa pamoja mkuu

Unaona sasa wewe. Ukianza tu UDINI basi unakosa busara.

Nani kasema nadharau dini ya mtu? Je wewe unaheshimu dini yangu?

Ngoja niondoe na Senkyu zangu. Nilifikiri leo umekuja na busara. Haya tuendelee na mechi kama jana. Ntakufuata kama kivuli kila unapokwenda.

Ahhh, nimeamua kuanzia leo nipunguze POROJO. Nimegundua wengi humu wapo kupunguza ukiwa wa kuwa mbali na nyumbani. Rev Kishoka, itabidi tuanzishe kichemba kwa MEMBER ONLY juu ya watu wanaotaka kufanya mabadiliko kweli.

Senkyu zako naziacha na naachana na JF kwa asilimia kubwa saana kuanzia SASA HIVI: BYEE.
 
Tutawajibu wanaotusema!

Basi kama wataanza kujibu ni vizuri wakaanza kujibu ya Mwakyembe aliyoyasema kwenye hicho kikao!!
K4,
Mimi nahisi JK hatarudi tena kujibu. Aliyoyasema jana ndiyo majibu kamili. Karibuni anaondoka kutinga Copenhagen. Atakaporudi anatumaini moto wa hii issue utakuwa umepungua. Nitashangaa arudi tena afungue mjadala wa kuwajibu kina Butiku, kwani atasema nini zaidi ya aliyoyasema jana?
 
Swali:
Kwani Raisi akiwa safarini,hapewi briefings?Inakuwaje anasema "...kwa kuwa ndio kwanza nimefika..."???Hapo tayari ni weakness!Kazi kweli tunayo!
 
Unaona sasa wewe. Ukianza tu UDINI basi unakosa busara.

Nani kasema nadharau dini ya mtu? Je wewe unaheshimu dini yangu?

Ngoja niondoe na Senkyu zangu. Nilifikiri leo umekuja na busara. Haya tuendelee na mechi kama jana. Ntakufuata kama kivuli kila unapokwenda.

Ahhh, nimeamua kuanzia leo nipunguze POROJO. Nimegundua wengi humu wapo kupunguza ukiwa wa kuwa mbali na nyumbani. Rev Kishoka, itabidi tuanzishe kichemba kwa MEMBER ONLY juu ya watu wanaotaka kufanya mabadiliko kweli.

Senkyu zako naziacha na naachana na JF kwa asilimia kubwa saana kuanzia SASA HIVI: BYEE.
Maneno yako ni sawa na tabia yako pole

senkyu yako iondoe haraka

mabadiliko wewe huwezi leta kwa aina ya mawazo yako "too shallow"

Kama benchmark yako ni slaa na mbowe tutegemee nini ..upupu
 
Unaona sasa wewe. Ukianza tu UDINI basi unakosa busara.

Nani kasema nadharau dini ya mtu? Je wewe unaheshimu dini yangu?

Ngoja niondoe na Senkyu zangu. Nilifikiri leo umekuja na busara. Haya tuendelee na mechi kama jana. Ntakufuata kama kivuli kila unapokwenda.

Ahhh, nimeamua kuanzia leo nipunguze POROJO. Nimegundua wengi humu wapo kupunguza ukiwa wa kuwa mbali na nyumbani. Rev Kishoka, itabidi tuanzishe kichemba kwa MEMBER ONLY juu ya watu wanaotaka kufanya mabadiliko kweli.

Senkyu zako naziacha na naachana na JF kwa asilimia kubwa saana kuanzia SASA HIVI: BYEE.
Maneno yako ni sawa na tabia yako pole

senkyu yako iondoe haraka

mabadiliko wewe huwezi leta kwa aina ya mawazo yako "too shallow"

Kama benchmark yako ni slaa na mbowe tutegemee nini ..upupu
 
JK, MKUU Enough is Enough!!!

Hizi story zisizokuwa na kichwa ndio unajifanya unataka kujibu wakati watanzania ndio waliokuweka madarakani wakitazamia mali na utajiri wa Nchi utakuwa mikononi mwa watanzania kwa faida ya nchi!!

Mbona hujibu madini yetu yanavyoendelea kuchukuliwa huku tukibakiwa na mashimo???

Kwa nini mpaka leo hakuna kampuni hata moja ya madini inayolipa hiyo 30% tax corporate tax??

Kwanini royalty rate haijapandishwa mpaka 7% kwa gold na 9% kwa diamond???

Kwa nini exemptions za mwaka ni zaidi ya 15% ya budget nzima?? Kwa nini usiongee tu na bunge ikapitishwa halt ya say 3 yrs no exemptions ili tuweze kujenga barabara, mahospitali, mashule, kuimarisha umeme?? Anayesema kuwa itakimbiza wawekezaji blah blah waambiwe tu hii ni kwa benefit ya kila mtu kwani huduma hizi zitasaidia wananchi, wawekezaji na wote wanaoitakia TZ Mema.

Mkuu hivyo ni baadhi tu ya vitu unavyoweza kufanya na sio kutusumbua eti utajibu mapigo!! Kwani hii ni mipasho au inahusu maslahi ya 40million Tanzanians??

Safari njema najua unachukua pipa in the next 48hrs, si ungeunganisha juu kwa juu tu mkuu umerudi kufanya nini
 
I stand to be coprrected , Sio Mhashamu Cardinal PENGO aliyesema 2005 kuwa Jakaya ni chaguo la Mungu; nadhani alikuwa msaidizi wake Kilaini ambae hivi sasa sio msaidizi wake tena kwani BABA MTAKATIFU amehamisha kwenda kuwa msaidizi jimbo la Bukoba!
 
Kikwete anatarajia kuongoza msafara wa watu takribani 60 atakapokwenda Copenhagen kuhudhuria mkutano wa Mabadiliko ya Tabia Nchi ambao utahudhuriwa na viongozi mbalimbali wa kitaifa.



Mcharuko mwingine huu...................................
 
Back
Top Bottom