Kikwete: Tutawajibu wanaotusema!

Siamini kama Rais wa nchi anaweza kujibu hivyo anaonewa wivu???? ni lini JK ataamka aongoze nchi badala ya kuendekeza U-Vasco Da Gama???? anaona sifa eti nani ataenda kwenye mikutano,sasa nani anamfanyia kazi zake pale magogoni???? kama wanaweza iweje kwenye ruti ndo wasiweze!!!!!!
QUOTE]

JUZI MUSEVENI ALIPANDA ECONOMY CLASS YA BA TOKA MAREKANI....HUYU ANAENDA TENA NA WATU 60[OMBA LIST YA HAO WATU 60 FOREIGN UTACHEKA...WENGI WATAKUWA VICHECHE]...tutakumbuka ule mkutano wa mazingira wa mwisho ulifanyikaga BRAZIL..tanzania ilipeleka ujumbe mkubwa kuliko hata marekani..
 
amesema atapumzika mwanzoni mwa mwaka,
nadhani atarudi tena iringa kwa wakwe zake pale kwa asas maana ameoa pale majuzi.

huku iringa wanamwita shemeji wakwe wapo .

halafu naomba kusaidiwa hivi huyu jamaa huwa anawaona vipi hawa mabinti au kuna mtu anapiga pande? maana toto la kiarabu la mzee asas si chezo. aklidanganya taifa kuwa yuko mapumzikoni ruaha national park kumbe yuko ukweni!!!

MI NAWAMBIA HUYU TUTAMTUPIA MAWE AKIMALIZA KIPINDI CHAKE.

Edson ni ya kweli haya? Tuliambiwa alikuwa Ruaha National Park watu hata hapa JF wakawa so anxious kwamba huenda this time atafanya maamuzi magumu kama rais. Cha ajabu kumbe alikwenda kuoa jamani mbona this is more than serious? Sasa si ndio watakuwa watatu sasa wandugu au? Maana tuliambiwa kuna mwarabu wa Bagamoyo/Dubai. Duh anyway kidini anarushusiwa mpaka wanne lakini huenda hawa wakawa sababu ya yeye kushindwa kudeliver kwani "what one does off the job determines how far he goes on the job"
 
Edson ni ya kweli haya? Tuliambiwa alikuwa Ruaha National Park watu hata hapa JF wakawa so anxious kwamba huenda this time atafanya maamuzi magumu kama rais. Cha ajabu kumbe alikwenda kuoa jamani mbona this is more than serious? Sasa si ndio watakuwa watatu sasa wandugu au? Maana tuliambiwa kuna mwarabu wa Bagamoyo/Dubai. Duh anyway kidini anarushusiwa mpaka wanne lakini huenda hawa wakawa sababu ya yeye kushindwa kudeliver kwani "what one does off the job determines how far he goes on the job"

uliza yeyote hapa iringa atakwambia, hivi jana ulimuona alivyokuwa anajibu maswali? kihuni halafu eti alipimwa akili huko, kamaamejistukia kuwa nati zimeregea si apumzike. hazina kuu ya thithiem na ndo mtaji wao mkubwa!!!!
 
It makes an interesting reading by following comments za watu kwenye mada hii !!!!!
 
mtamkoma mtoto wa kikwere ..keshawaambia kapimwa mishipa ya damu na mifupa iko shabab sasa anakwenda copenhagen..hahaaaaa
 
Mkuu wa Kaya angekuwa anaingia JF angalau kwa wiki mara moja atembelee jukwaa la Siasa, angalau angekumbana na hoja zitakazomsuta hivyo kumsababishia kupunguza vijisafari ili apate muda wa kutafakari na kupambana na matatizo mengi hapa nchini yanayohitaji Rais kuyasimamia!

Hizi briefings ambazo ziko diluted hazimpi picha halisi ya manung'uniko ya watanzania....!
 
aaah JK uraisi raha bwana..yaani sijawai kuwa na rais anayenipa raha kwa vioja kama wewe JK..mungu akuzidishie nguvu uendelee kunichekesha maana wakati wa makapa nilikuwa sicheki ....
 
..mtu kupenda kuongelea jambo bila kuulizwa ....hasa alipoongelea details za vipimo vyake na mahojiano na daktari ....kwenye psycology we call that a defensive mechanism behavior...na mara nyingi mtu anaye behave namna hiyo huwa anakuwa anaficha jambo ....ambalo hataki ligundulike na watu.....HAKUNA MUANDISHI ALIYEMUULIZA RAIS KAMA CUBA ALIPIMWA AFYA AU LA...SO hakuwa na haja ya kutuambia kuwa alipimwa afya tena cuba na akaonekana poa!!!...eti "walinipima akili ,wakaniuliza mzee unalala kweli wewe...??" inawezekana hulali lakini haituhusu inamuhusu "wakezo"...cause tunajuwa hukeshi kwa ajili yetu sio!!

vuta picha ...ya mgonjwa anapokuambia ..nimenenepae?? anataka umuambie ndio..

au unakutana na mtu ....amekonda kwa maradhi alafu ukikutana naye anajihami...." usinione hivi ....siku hizi sitaki unene ...nataka nipungue zaidi.." ..inabidi ukubali..kwa kuwa its defence against his condition ...and his releaf comes if you shows that umekubaliana naye...

nadhani hapa watu walimponda sana dr mfisi alipotoa details za afya ya rais ...lakini kwa namna alivoongea rais jana ni wazi kuwa daktari wa rais aliagizwa na rais kuandaa taarifa ya kutetea his medical condition...haikuwa ridhaa yake!!!

nadhani wale waliokuwa wanasema mwaka 2005...kuwa mmoja wa mgombea ana afya mbovu wanaweza kuwa walikuwa sahihi!!
 
Nakumbuka kuwa Prof. Lipumba aliwahi kusema kabla ya uchaguzi wa 2005 kuwa JK hafai kuwa kiongozi wa nchi maana ni mtu wa mzaha mzahaa toka angali anasoma pale UDSM. Nilifikiri ni kampeni za urais, sasa naelekea kuamini kuwa alikuwa sahihi. Hivi kweli unahitaji kuwa msomi sana kujua kuwa JK hana uwezo kuliko Prof. Mwandosya au SAS? CCM kweli hamna kitu! Sasa chama chenu lazima kitameguka chini ya uongozi wake ndio mtajua next time muwe serious na mambo ya uongozi wa chama/nchi
 
Tutawajibu wanaotusema!

Basi kama wataanza kujibu ni vizuri wakaanza kujibu ya Mwakyembe aliyoyasema kwenye hicho kikao!!
 
ameomba kwanza akajadiliane na wenzake(akina makamba) sijua kama kutakuwa na majibu tofauti...mbali na kuwaita wehu.
nadhani baada ya kuzurura sana na kubembea sasa angekaa nchini na kufanya majukumu ya maendeleo ya kitaifa, ukiwaletea wata maendeleo ndio watajua kama hao watu ni wehu au la.
 
ameomba kwanza akajadiliane na wenzake(akina makamba) sijua kama kutakuwa na majibu tofauti...mbali na kuwaita wehu.
Nadhani baada ya kuzurura sana na kubembea sasa angekaa nchini na kufanya majukumu ya maendeleo ya kitaifa, ukiwaletea wata maendeleo ndio watajua kama hao watu ni wehu au la.

kama kikwete amekuwa rahisi basi hata mzee yusuf wa zanzibar stars anaweza kuwa rais ....maana imejeuka ni kazi ya kujibu kwa mipasho..
 
Labda mimi sikuelewa kiswahili.

Rais JK kasema ktk jamii ndivyo ilivyo 15% watakupenda,15%watakuchukia hata ufanye nini, 70% wao wataangalia upepo unavuma vipi.
Hayo ndo kasema Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania .
na kakwambia ametoka kupima akili hapo na imekutwa iko sawa!!mi nadhani ndio mana wamemshauri apumzike baada ya mwaka mpya.
 
Back
Top Bottom