Kikwete: Tutatumia mkongo kufundishia wanafunzi

Hivi rais anaijua nchi yake yote? au anajua mamkao makuu ya wilaya za mikoa yote tz. Nasema hivyo kwa kuwa kama anajua nchi yote asingeweza kuropoka upuuzi aliousema. Kuna shule ya sekondari iko sehemu hata gari kwenda huko ni kazi sasa huo mkongo sijui hayo mawasiliano yatafanyaje kazi. Hapa amedanganya wazi wazi. Kwa hili sikubaliani nae kabisa kwa hili RAIS AMEDANGANYA UMMA HADHARANI na adhabu yake ni yeye kujiuzulu tu
 
Hivi huyu mkwere vipi?
Kwanza ahadi zote alizoaidi wakti wa uchaguzi ajatekeleza ata mmoja! alafu anaongezea ahadi zingine za uongo
 
Huyu jamaa ni mvivu wa kufiki mpaka sasa e_governance inaelekea kumshinda, anandoto za kufanya telemedicine na sasa amekurupuka na e_education bila hata kujiuliza hyo miundombinu ya kufacilitate e_education ipo wapi. Nchi inaongozwa kwa ndoto.
Wametuambia vitambulisho vya uraia wetu kwa kadiri ya ufahamu wngu mdogo hyo project inatakiwa iwe katika huo mkondo wa mawasiliano ili leo mtoto anapozaliwa kijijini basi taarifa zake ziingizwe mara moja katika national database ya vitambulisho hivyo. Lakini wao wanazungumza bila kujua dhana nzima ya vitambulisho nini? na vitalisaidiaje taifa.

Please mkwere give us a break sio lazima uwe unazungumza wakati mwingine uwe unakaa kimya uwezi kuongoza nchi kwa ndoto nchi inaongozwa kwa proper planning. Tupe umeme wa kuaminika then andaa wataalamu wa kutosha katika fani ya ICT kwa kiwango cha mishahara inayostahili,Peleka computer shuleni watoto wazizoee na wajifunze kutumia then njoo na idea kama hiyo utaonekana bonge la great leader otherwise unazidi kujishushia heshima katika jamii
 
The president needs to get and accept informed advice before going public with announcements loaded with ignorance of reality and obvious facts. These kind of utterances are embarassing. Comprehensive e-education is not feasible in Tanzania under the present circumstances. It could be for select secondary schools (in the private sector).
 
Back
Top Bottom