Kikwete: Tutatumia mkongo kufundishia wanafunzi

Jamani labda mimi sielewi kiswahili hivi mkondo wa mawasiliano ndiyo setelliti au internet.
Kama moja kati ya hayo ni sahihi basi rais wetu anaota ndoto tena ya mchana, sitaki kumkumbusha matatizo kama ya umeme madarasa walimu nk, nataka kumwambia hata nchi zilizo endelea hawajafika huko nasema hivyo kwa sababu nimewahi kufundisha baadhi ya shule kwenye nchi za EU, atenganishe kufindisha kwa komputa (Power Point) na kutumia settllite au internet.

Shule zenyewe anazosema ndizo hizi au hizi hazitakuwemo kwenye mpango wake, kama zitakuwemo anategemea ataziboresha ndani ya hiyo miaka mitano kabla ya mpango wake kuanza? Tusidanganyane mchana mchana.
images

26366.jpg
 
Anaota ndoto ngumu kweli tena hii ni mara ya kumi kama sikosei, there is so much to do kabla ya kukurupuka na mkongo, mmeshayasema ila kuna SIRI nyuma yake....siri hii ni mradi wa computer-laptops ambao uko chini ya familia yake ambao ndio utapewa dili ya kusambaza hizo facilities toka Marekani!!! Yapo mengi nyuma ya statement zake hizo kwani alishasema kuwa kila mwanafunzi atakua na laptop...so much to come
 
kamwe haiwezitokea hata siku moja kwa style ya maisha tunayoyaona sasa hivi. na haka kamjamaaa kameshaishiwa point maana kila kukicha kanalopokalopoka tu si juu inakuwaje siamini kama kichwa ndio kinafanya kazi au ni miguu ndio inafanyakazi. nikichekesho maana hata nchi zilizoendelea haziko hivyo ndio useme tz yetu iliyona watu waliolaniwa hata hawafikirii na kama wakifiukiria hawatendi na wakitenda nia aibu mtupu. yeye akalale tu maana kila kitu kinafani pengine fani yake haikuwa urais bali ni vichekesho na ucheshi.
 
pole kikwete pole,
umeishiwa!
pole kikwete pole,
naona huna hoja!
pole kikwete pole,
ni kama unabwata!
pole kikwete pole,
na mawazo mfu!
pole kikwete pole,
 
Anaota ndoto ngumu kweli tena hii ni mara ya kumi kama sikosei, there is so much to do kabla ya kukurupuka na mkongo, mmeshayasema ila kuna SIRI nyuma yake....siri hii ni mradi wa computer-laptops ambao uko chini ya familia yake ambao ndio utapewa dili ya kusambaza hizo facilities toka Marekani!!! Yapo mengi nyuma ya statement zake hizo kwani alishasema kuwa kila mwanafunzi atakua na laptop...so much to come
Noted.
 
Na lile swala la kila mwalimu kuwa na lap top yae lilifikia wapi?
au mheshmiwa amesahau?
 
Mkwere nilishamuona hapendi nchi hii ipige hatua kwa maendeleo, teknolojia za wakubwa ulaya na marekani yeye anataka zianze kutumika Tanzania; hata South Africa(Big 20?) haijatumia. Anatughiribu tuone ana mawazo ya maendeleo kumbe kutupotezea muda ili amalize kipindi chake, na watendaji wa serikali nawaomba acheni unafiki.....mwambieni malengo mengi yanayotekelezeka kwa muda mfupi na hayo ya muda mrefu andikeni kwenye vitabu kwaajili ya kizazi kijacho. Mkwere fanya kazi acha kujipendekeza tunajua uwezo wako wa kiutndaji ni mdogo lakini ukiamua kusikiliza watendaji wenye akili huenda ukamaliza muda wako na japo mawili ya kusifiwa....acha porojo... nawatendaji wanaokupa porojo hizo achana nao weka watendaji waliofanyiwa """vetting za ukweli"" kumbuka kuna siku baada ya kuachia madaraka,
 
Yaani kwa kweli inachefua kabisa, nikifikiri zile shule za kule bush kwetu, hata nyumba zenyewe hakuna maji hakuna, umeme hakuna sasa sijui itakuwaje? hata hayo madarasa hayapo, then umeme wa uhakika uwepo then computer na projector ziwepo. Walimu wenyewe wa bush hata hawajui jinsi ya kutumia computer, anyway madam amesema mkuu wa nchi pengine inawezekana. Ila yangu macho na masikio.
 
nakushukuru ndugu yangu quinine, umechangia na kuweka kabisa picha for vivid evidences ya unachochangia na kukizungumzia, which is good.
 
This is a plan. Na vitendea kazi vyake vinafanyiwa kazi kuwekwa sawa, so by 2013/14 vinaweza kuwa tayari mambo yakajipa. Hata kama sio shule zote, baadhi zikipata uwezo huu, si itakuwa hatua moja mbele? Haraka ya nini kulaumu kitu ilihali matokeo bado kuyaona? Yakifanikiwa mtasema nini? Let us wait and see.
 
ktk baadhi ya shule matofali yakukalia bado hayatoshi hizi computer zitawekwa wapi? kazi kweli kweli
lkn nahisi ni utekelezaji wa suala hili utafanyika mwaka 2050 (labda lipo kwenye strategic plan yake)
 
hivi hajatoa mfano wa mji sembuse nchi iliyowahi kufanya hivyo? Si lazima kuwepo na interaction kati ya mwal na mwanafinzi jamani? Hata wasomi wa online huhitaji interaction ya aiana fulani na prof wake. Jk ?
 
This is a plan. Na vitendea kazi vyake vinafanyiwa kazi kuwekwa sawa, so by 2013/14 vinaweza kuwa tayari mambo yakajipa. Hata kama sio shule zote, baadhi zikipata uwezo huu, si itakuwa hatua moja mbele? Haraka ya nini kulaumu kitu ilihali matokeo bado kuyaona? Yakifanikiwa mtasema nini? Let us wait and see.

baba ni mmoja kwa nini wengine watumia mtandao ktk kusoma wakati watoto wengine hata madawati hayatoshi?
hii kwangu haija kaa vizuri na nadiriki kusema hapo chilikali ya mkwere imechemka
 
Shule zenye umeme na zinazoweza kutumia huu mkongo zinaridhisha kwa kuwa na idadi nzuri ya walimu, so hazihitaji hii kitu mkongo. Shule zinazohitaji hii kitu ni zile zenye walimu wachache, hazina umeme, hazina mahabara, hazina madawati ya kutosha na hata majengo ya madarasa hayatoshi!!!
 
Kuna mtu aliyesoma na JK anasema GPA yake pale Mlimani ilikuwa 2.2 ndiyo maana uwezo wake wa kufikiri ni finyu. Je kuna mdau anaweza ku-confirm hii?
 
Back
Top Bottom