Kuna vitu vingine vinahitaji uwe kichwa ngumu kuvitamka mbele ya watu hasa ukiwa kiongozi wa kitaifa.
Hakuna suluhu ya umeme hadi sasa,
IT mjini kwenyewe bado watu wamesinzia, itakuwa vijijini tena kwa watoto wa shule na walimu waliovunjika mioyo?
Haya mengine ni maigizo, kufikia huko tunahitaji kufanya kazi na si maneno ambayo unayesema leo unakuja kuyarudia baada ya miaka mitano kupita.
JK hana jipya
Hakuna suluhu ya umeme hadi sasa,
IT mjini kwenyewe bado watu wamesinzia, itakuwa vijijini tena kwa watoto wa shule na walimu waliovunjika mioyo?
Haya mengine ni maigizo, kufikia huko tunahitaji kufanya kazi na si maneno ambayo unayesema leo unakuja kuyarudia baada ya miaka mitano kupita.
JK hana jipya