Kikwete tupe zawadi hii; na Utendaji wa Spika

Sangarara

JF-Expert Member
Sep 29, 2011
13,100
5,649
Hakuna aliyetemea kwamba Kijana msomi lakini masikini wa kutupwa wa tunisia alipojichoma moto na kupoteza maisha yake Mwishoni mwa Mwaka Juzi angeacha nyuma yake harakati za kuwaondoa madarakani Viongozi wa nchi zote ambazo wengi wa wananchi wao wamepoteza imani na matumaini ya uongozi wao. Mmoja baada ya mwingine wanaondoka madarakani bila kupenda, kote Africa na Arabia.

Ukweli ni kwamba, nguvu inayowasukuma wananchi wa nchi zote zilizowaondoa Marais wao madarakani huku makumi elfu ya wananchi wengine wakipotezesha maisha yao ni DISSATIFICATION POWER.

Kuna dissatification kubwa sana nchini sasa, na ni busara pekee ndio inaweza kutuokoa na mkondo huu wa hatari, sababu matokeo ya harakati hizi hayana mwisho mwema achilia mbali harakati zenyewe kuwa za jaziba na zenye madhira makubwa kwa wananchi wa nchi husika.

Ni Rais Jakaya Pekee ndio anaweza kutuokoa na hali hii. Hivyo naomba atupe zawadi ya Kutangaza Uchaguzi huru, ama avunje bunge na mchakato wa uchaguzi uwe ni kwa ngazi ya ubunge na Urais au nafasi ya Urais Pekee.Na uchaguzi huu uwe ni huru na wa haki.

Zawadi hii pekee ndio itatufanya tumkumbuke kwa mema, hata mambo yakiharibika huko siku za usoni hakika tutamlilia.
Watanzania tukubaliana kumpa ofa ifuatayo
1. Mshahara wake uongezwe mara kumi zaidi ya sasa
2. Alipwe mshahara wa miezi yote ambayo ataisurrender mpaka kufikia mwezi wa mwisho wa urais katika awamu hii katika utaratibu wa kawaida.
3. Na kwa sababu anapenda safari, alipwe Perdiem kwa siku zote zilizobakia kuanzia siku atakapotangaza uchaguzi mpaka siku ambayo ingekuwa ya mwisho kwake kama asingechukua maamuzi kama haya as if angekuwa nje ya nchi kwa siku zote hizo.
4. Na apatiwe ulinzi wa uhakika kuliko marais wote wastaafu.
5. N.k

Hii itatusaidia watanzania kupata Rais Mbadala ambaye anaweza kutuvusha kutoka hapa, na hakika tutaepusha tunis syndrome,
na kwa namna ya kipekee itabadilisha fikra za watanzania wote ambao kimsingi, wamekata tamaa na wanasubiri uchaguzi wa mwaka 2015 tu as if sasa hatuna rais. na hakika nguvu za kuwajibika zinaweza kuturudia

Natanguliza shukrani zangu,
 
Hakuna aliyetemea kwamba Kijana msomi lakini masikini wa kutupwa wa tunisia alipojichoma moto na kupoteza maisha yake Mwishoni mwa Mwaka Juzi angeacha nyuma yake harakati za kuwaondoa madarakani Viongozi wa nchi zote ambazo wengi wa wananchi wao wamepoteza imani na matumaini ya uongozi wao. Mmoja baada ya mwingine wanaondoka madarakani bila kupenda, kote Africa na Arabia.

Ukweli ni kwamba, nguvu inayowasukuma wananchi wa nchi zote zilizowaondoa Marais wao madarakani huku makumi elfu ya wananchi wengine wakipotezesha maisha yao ni DISSATIFICATION POWER.

Kuna dissatification kubwa sana nchini sasa, na ni busara pekee ndio inaweza kutuokoa na mkondo huu wa hatari, sababu matokeo ya harakati hizi hayana mwisho mwema achilia mbali harakati zenyewe kuwa za jaziba na zenye madhira makubwa kwa wananchi wa nchi husika.

Ni Rais Jakaya Pekee ndio anaweza kutuokoa na hali hii. Hivyo naomba atupe zawadi ya Kutangaza Uchaguzi huru, ama avunje bunge na mchakato wa uchaguzi uwe ni kwa ngazi ya ubunge na Urais au nafasi ya Urais Pekee.Na uchaguzi huu uwe ni huru na wa haki.

Zawadi hii pekee ndio itatufanya tumkumbuke kwa mema, hata mambo yakiharibika huko siku za usoni hakika tutamlilia.
Watanzania tukubaliana kumpa ofa ifuatayo
1. Mshahara wake uongezwe mara kumi zaidi ya sasa
2. Alipwe mshahara wa miezi yote ambayo ataisurrender mpaka kufikia mwezi wa mwisho wa urais katika awamu hii katika utaratibu wa kawaida.
3. Na kwa sababu anapenda safari, alipwe Perdiem kwa siku zote zilizobakia kuanzia siku atakapotangaza uchaguzi mpaka siku ambayo ingekuwa ya mwisho kwake kama asingechukua maamuzi kama haya as if angekuwa nje ya nchi kwa siku zote hizo.
4. Na apatiwe ulinzi wa uhakika kuliko marais wote wastaafu.
5. N.k

Hii itatusaidia watanzania kupata Rais Mbadala ambaye anaweza kutuvusha kutoka hapa, na hakika tutaepusha tunis syndrome,
na kwa namna ya kipekee itabadilisha fikra za watanzania wote ambao kimsingi, wamekata tamaa na wanasubiri uchaguzi wa mwaka 2015 tu as if sasa hatuna rais. na hakika nguvu za kuwajibika zinaweza kuturudia

Natanguliza shukrani zangu,


atafutiwe na chumba kizuri cha kupumzika either ukonga au segerea
 
wakuu sina mengi ya kusema,lakini ningependa tuijadili busara ya kiti cha spika yenye kuzidi busara zaidi ya 300 wanaowakilisha wananchi milioni 40+
 
mi nadhani busara ya kiti inaonekana imepoteza uhalisia kutokana na kukaliwa na watu wanao ona na wala si watu wenye upeo! Hawafaham dhamana waliyonayo ina adhari gani ktk mustakabali wa taifa. Mtu kama Makina, Ndugai, Silvester na Simba/Fisichawene, hawana uwezo kabisa wakukikalia kile kiti, nadhani wanachunga sana ndoa yao na mabwana zao ccm(mafisadi) kuliko maslahi ya taifa. Si dhani kama ni hekima kusema busara ya kiti inazuia kujadili swala la madaktari ili hali hao mnao wawakilisha wanakufa na wanatamani waskie watetezi wao wanaiambia nn serikal. Nadhani ujinga wao ndo unawatuma kufanya hvyo na wala si busara. Am sory to say this I wish Bi Kiroboto angeR.I.P, anatupeleka pabaya sana huyu mama, anarukia rukia tu maneno kama muuza bar wa manzese.
 
inawezekana ikawa hoja ya msingi ila si kwa sampuli ya viongozi tulionao.....
 
Huu ni ujinga wa mileniamu, Nitagombea ubunge nikasababishe, nitamkwida spika mpaka apumulie kwa nyuma, spika ni mbunge kama ambavyo nitakuwa, wajibu wetu itakuwa kuwatetea wananchi, hatanizuia, naomba kuungwa mkono.
 
Ndugu zangu mtakumbuka wakati wakati bwana Jairo alipo alipowakwaza wabunge kwakuchangisha pesa kwa madai kwamba anaenda kuwahona wabunge ili wapitishe baketi ya wizara wabunge walikuja juu sana walitimia muda mwingi Wa bunge kumjadili bw Jairo! Pengine kwa sababu hili lilikuwa linawagusa wao!

Zaidi ni pale ilipobainika kwamba Bw Jairo amesafishwa na CS ambapo waliamua kusimamisha shughuli zote nakuamua kujadili uamuzi Wa CS! Leo madaktari wamegoma kutokana na uzembe Wa baadhi ya watendaji wa wizara lakini kwa kuwa athari za mgomo haziwapati wao (wabunge na spika) spika anaamua kuleta siasa!

Wapi standards!
 
Hakuna aliyetemea kwamba Kijana msomi lakini masikini wa kutupwa wa tunisia alipojichoma moto na kupoteza maisha yake Mwishoni mwa Mwaka Juzi angeacha nyuma yake harakati za kuwaondoa madarakani Viongozi wa nchi zote ambazo wengi wa wananchi wao wamepoteza imani na matumaini ya uongozi wao. Mmoja baada ya mwingine wanaondoka madarakani bila kupenda, kote Africa na Arabia.

Ukweli ni kwamba, nguvu inayowasukuma wananchi wa nchi zote zilizowaondoa Marais wao madarakani huku makumi elfu ya wananchi wengine wakipotezesha maisha yao ni DISSATIFICATION POWER.

Kuna dissatification kubwa sana nchini sasa, na ni busara pekee ndio inaweza kutuokoa na mkondo huu wa hatari, sababu matokeo ya harakati hizi hayana mwisho mwema achilia mbali harakati zenyewe kuwa za jaziba na zenye madhira makubwa kwa wananchi wa nchi husika.

Ni Rais Jakaya Pekee ndio anaweza kutuokoa na hali hii. Hivyo naomba atupe zawadi ya Kutangaza Uchaguzi huru, ama avunje bunge na mchakato wa uchaguzi uwe ni kwa ngazi ya ubunge na Urais au nafasi ya Urais Pekee.Na uchaguzi huu uwe ni huru na wa haki.

Zawadi hii pekee ndio itatufanya tumkumbuke kwa mema, hata mambo yakiharibika huko siku za usoni hakika tutamlilia.
Watanzania tukubaliana kumpa ofa ifuatayo
1. Mshahara wake uongezwe mara kumi zaidi ya sasa
2. Alipwe mshahara wa miezi yote ambayo ataisurrender mpaka kufikia mwezi wa mwisho wa urais katika awamu hii katika utaratibu wa kawaida.
3. Na kwa sababu anapenda safari, alipwe Perdiem kwa siku zote zilizobakia kuanzia siku atakapotangaza uchaguzi mpaka siku ambayo ingekuwa ya mwisho kwake kama asingechukua maamuzi kama haya as if angekuwa nje ya nchi kwa siku zote hizo.
4. Na apatiwe ulinzi wa uhakika kuliko marais wote wastaafu.
5. N.k

Hii itatusaidia watanzania kupata Rais Mbadala ambaye anaweza kutuvusha kutoka hapa, na hakika tutaepusha tunis syndrome,
na kwa namna ya kipekee itabadilisha fikra za watanzania wote ambao kimsingi, wamekata tamaa na wanasubiri uchaguzi wa mwaka 2015 tu as if sasa hatuna rais. na hakika nguvu za kuwajibika zinaweza kuturudia

Natanguliza shukrani zangu,

Nadhani waTz hatujachoka kiivyo, tungekuwa tumechoka tusingesubiria hadi 2015 tungemwondoa kwa nguvu ya umma ambayo ni sauti ya Mungu
 
Wote wako kisiasa zaid ukizingatia ndo wanamalizia, they have nothing to loose. tuwaombee
 
Hakuna aliyetemea kwamba Kijana msomi lakini masikini wa kutupwa wa tunisia alipojichoma moto na kupoteza maisha yake Mwishoni mwa Mwaka Juzi angeacha nyuma yake harakati za kuwaondoa madarakani Viongozi wa nchi zote ambazo wengi wa wananchi wao wamepoteza imani na matumaini ya uongozi wao. Mmoja baada ya mwingine wanaondoka madarakani bila kupenda, kote Africa na Arabia.

Ukweli ni kwamba, nguvu inayowasukuma wananchi wa nchi zote zilizowaondoa Marais wao madarakani huku makumi elfu ya wananchi wengine wakipotezesha maisha yao ni DISSATIFICATION POWER.

Kuna dissatification kubwa sana nchini sasa, na ni busara pekee ndio inaweza kutuokoa na mkondo huu wa hatari, sababu matokeo ya harakati hizi hayana mwisho mwema achilia mbali harakati zenyewe kuwa za jaziba na zenye madhira makubwa kwa wananchi wa nchi husika.

Ni Rais Jakaya Pekee ndio anaweza kutuokoa na hali hii. Hivyo naomba atupe zawadi ya Kutangaza Uchaguzi huru, ama avunje bunge na mchakato wa uchaguzi uwe ni kwa ngazi ya ubunge na Urais au nafasi ya Urais Pekee.Na uchaguzi huu uwe ni huru na wa haki.

Zawadi hii pekee ndio itatufanya tumkumbuke kwa mema, hata mambo yakiharibika huko siku za usoni hakika tutamlilia.
Watanzania tukubaliana kumpa ofa ifuatayo
1. Mshahara wake uongezwe mara kumi zaidi ya sasa
2. Alipwe mshahara wa miezi yote ambayo ataisurrender mpaka kufikia mwezi wa mwisho wa urais katika awamu hii katika utaratibu wa kawaida.
3. Na kwa sababu anapenda safari, alipwe Perdiem kwa siku zote zilizobakia kuanzia siku atakapotangaza uchaguzi mpaka siku ambayo ingekuwa ya mwisho kwake kama asingechukua maamuzi kama haya as if angekuwa nje ya nchi kwa siku zote hizo.
4. Na apatiwe ulinzi wa uhakika kuliko marais wote wastaafu.
5. N.k

Hii itatusaidia watanzania kupata Rais Mbadala ambaye anaweza kutuvusha kutoka hapa, na hakika tutaepusha tunis syndrome,
na kwa namna ya kipekee itabadilisha fikra za watanzania wote ambao kimsingi, wamekata tamaa na wanasubiri uchaguzi wa mwaka 2015 tu as if sasa hatuna rais. na hakika nguvu za kuwaji
Natanguliza shukrani zangu,

Mkuu kwa viongozi wa dizaini ya jk sidhani kama hata anafikiri kwa kiwango ulichofikiri, nafikiri siku zake ni nyingi mno kwa hali ilivyo sasa, kama ningekuwa yeye ningestep down immediately au ningevunja baraza la mawaziri na kuomba ushauri upinzani watu gani wangenifaa kwenye serikali yangu. Unajua uungwana ni vitendo. Jamani mambo ni magumu kitaa, kula mara tatu kwa siku ni ndoto hvi sasa. Mtanzania mwenzangu, TAFAKARI, CHUKUA HATUA.
 
wakuu sina mengi ya kusema,lakini ningependa tuijadili busara ya kiti cha spika yenye kuzidi busara zaidi ya 300 wanaowakilisha wananchi milioni 40+

daah! imenikumbusha mwanamke mmoja alipagawa na mashetani! akaulizwa kiti unataka nini? Akajibu! kiti taka damu taka damu! huku uso kama maiti! Au!
 
Mlie tuuu makinda ndiye waziri mkuu 2015 akiendeleza rekodi yake ya mwanamke wa kwanza..........network searching.......
 
Back
Top Bottom