MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
- Mkuu Jasusi dataz ziko sawa, anakuja na delegation ya watu 40, kwa hesabu niliyopata jana toka pale kwenye kuchukua viza ya US, na wote hao wanalipiwa hii safari na kodi yetu.
- Halafu mind you kwamba, akifika LA lazima balozi wetu US asafiri kutoka DC na maofisa kama watano toka ubalozini kwenda kumpokea na kusaifi naye ndani ya US, ti is incredible yaani ajabu na kweli!
- Halafu September, atarudi tena huko US, yaani UN kwenye General Assembly! na watu zaidi ya 40.
Mungu Aibariki Tanzania.
FMES
Ndiyo maana hatuendelei. Nchi masikini tunataka matumizi kama vile sisi ni matajiri. Viongozi wenyewe wa magharibi siwasikii waki safiri namna hii. Kama Obama mwenyewe most of the time he is at home na at least afew times per week ataongea na taifa lake kwa njia moja au lingine. The fact is we are poor, huku kutaka maisha tusiyo yaweza yata tuponza.