chilamjanye
Senior Member
- Oct 5, 2007
- 110
- 3
Leo nimesoma makala ya Privatus Karugendo nikaipenda sana na anachokizungumzia kina ni cha msingi sana. Kikwete Tunajua amekuwa akianguka mara kwa mara ambapo tunapata mashaka na afya yake. Huyu ndiye Rubani wetu wa ndege ya Tanzania hivi ikatokea Rubani anaendesha Angani ghafla ameanguka ndege itakuwaje. Abiria watafika kweli au ndo kifo cha kutisha. Karibu maoni wana JF