Kalunguine
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 2,543
- 134
Ukitafakari uongozi wa JK kisiasa yuko sawa na Mrema, wote wako empty, hamna kitu, hawezi kuongoza chochote.
Ukitafakari uongozi wa JK kisiasa yuko sawa na Mrema, wote wako empty, hamna kitu, hawezi kuongoza chochote.
Ukitafakari uongozi wa JK kisiasa yuko sawa na Mrema, wote wako empty, hamna kitu, hawezi kuongoza chochote.
WASTED :llama:Nakubaliana na wewe. Hata Lowasa nae muunge katika kundi hilo
WASTED :llama:kinana na makamba nao waingize humo.
WASTED :llama:woooooote hao wanachakachua nchi yangu ya asali na maziwa
WASTED :llama:ongeza makongoro nyerere na rizone na tambwe hiza na malaria s
WASTED :llama:Rostam Aziz mjumuishe kwenye hilo kundi la kitimotoz
msimsahau Kingunge naye na Chenge
..........................n wanachama wote wa CCM
Wewe mwenyewe usingelikuwa "empty" aka "hamna kitu" basi usingeandika wala kuanzisha mjadala uliojaa upupu! Lakini JF japo inajiita "house of great thinkers" lakini wamejazana watu wanaofanana na wewe zaidi kuliko great thinkers! Teh teh teh :tonguez:
Ukitafakari uongozi wa JK kisiasa yuko sawa na Mrema, wote wako empty, hamna kitu, hawezi kuongoza chochote.
Pamoja na mapungufu ya kila mmoja - si sahihi kumlinganisha JK na Mrema.