Kikwete safarini TENA!

Jamani sas kama uongozi wa nchi umemshinda mnataka abakie nchini afanye nini? Mwacheni tu azurure lakini ajue kabisa kwamba Januari 2016 atatumbia kila kitu labda azamie huko huko ughaibuni, hakuna mtu ambaye ameifisadi nchi hii ambaye atabaki salama baada ya 2015.

very proctive comrade. Tufike mahali rais wa Tanzania ajue ni utumishi na si MATUNUZI. Bwana huyu naye ajue barabara ya kwamba atawajibikia upuuzi wote aliufanyia WATANGANYIKA, I mean it. Iweje mamilion wanaumia kwa kukosa resources za nchi waweze kuendlea na huku mwingine na wapambe wake waruka huko na huko ughaibuni wakikenua meno!
 
Huyu jamaa ni pumba na dhaifu to say the least, canada day inakuhusu nini wakati kuna mambo yanayohitaji attention yake hapa nyumbani. What happened to a statement: "a government of the people for the people by the people"
 
Mkuu, Mnyika alishasema jamaa ni dhaifu, unategemea nini? yetu macho ni tarehe1 july utaona V.Dagama anachanja mbuga

Inabidi kuelewa sababu ya safari, kwani aliishakuwa waziri wa mambo ya nje na alisafiri sanaa kwa hiyo siyo kama anainjoyi kusafiri bali ni majukumu yanamfanya asafiri. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
 
Inabidi kuelewa sababu ya safari, kwani aliishakuwa waziri wa mambo ya nje na alisafiri sanaa kwa hiyo siyo kama anainjoyi kusafiri bali ni majukumu yanamfanya asafiri. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
, mkuu usiwe mvivu wa kusoma na kushirikisha ubongo wako.....ameitwa Canada kuhudhuria canada Day 2012
 
Rais wa Tanzania atasafiri muda wowote kuhudhuria sherehe inaitwa Canada Day 2012 nchini canada,mawazo yetu wote tunatazama kwa makini kama safari hii ataacha madaktari wamegoma na watanzania wasio na matumaini wakipoteza maisha na kupanda zake ndege kuelekea huko kwa wazungu!

TUPE SOURCE TAFADHARI TUMECHOSHWA NA UPOTOSHWAJI WA BAADHI YA TAARIFA HAPA Jf
 
hyo sherehe ya canada day hata waziri angeweza kumuwakilisha kuliko aende yeye ni matumizi mabaya ya fedha za serikali.
 
Hii nchi ngumu sana mwacheni mkuu akapumzike jamani halali eti usiku kucha anawaza jinsi ya kutatua matatizo yetu. Ila tunajadili na hili pia tutawapa taarifa.....teh teh teeeh!
 
Nanunsa 'state corruption' hapa. Kama kweli atakuwa amealikwa na akaenda kwenye hiyo sherehe basi tuna tatizo. Hawa Canada waliwaandalia chakula wabunge mwaka jana, na sasa naona mwaka huu wanamlenga Rais. Yote hii ni kutaka madini ya nchi.

Kwani hujui Barrick ni ya Canada??
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Nadehani atasherehekea vizuri sana manake alilotaka la kumuua Dr Ulimboka limetimia
 
Back
Top Bottom