Kama kweli JK hajakemea hiki kitenda atakuwa anaiharibu nchi yetu..inapofikia hatua ya watu kuvamia nyumba za ibada kama ishara ya kuonyesha hasira zao na Rais anakaa kmya ujue tunajitafutia laana kwa nchi.
Kichwa cha thread kimeandikwa "Kikwete: Pamoja na utoto wake, kijana alifanya kosa kubwa kukojolea msahafu!
Mie nikaona huyu Kikwete hajui kwamba swala la utoto ni la kisheria hapa? Ngoja niangalie anavyochemka!
Kusoma habari hamna sehemu yoyote inayoshabihiana na kichwa hicho! Naona Kikwete anasihi waislamu kuwa wavumilivu etc etc.
Hivi hii ni lack of comprehension au uchochezi wa makusudi?
sasa watoto wa kikristo wanalelewa wapi?si kwenye Sunday schools?na makanisani,kipaimara,ubatizo...nk?Waliobomolewa makanisa hata hawamjui yule mtoto. Hiyo kesi ilimuhusu huyo dogo na familia yake iliyokosea kumlea. Haikumhusu Askofu Marasusa. Wale waliovunja makanisa ni wenye akili timamu zaidi ya yule mtoto kwa makusudi walishuka mno na kuamua kufikiri kwa kiwango cha chinii sana kama yule mtoto. Jaziba zikitawala akili hushindwa kufanyakazi yake ipasavyo.
Mkuu sidhani kama ni najisi kuliko nguruwe, nina rafiki zangu wengi tu waislamu, wanakula nguruwe na kunywa bia, issue hii ni vizuri ikielezwa kwa ukweli.
Bukyanagandi, kufanya kosa sio kosa bali kurudia. Huyo mtoto alifanya kosa kukojolea kuran, lakini kitendo cha watu wazima (wazazi) kuchoma majengo ya kanisa kinadhalilisha (a)utashi wa wazazi katika jamii yetu (b)inaharibu kabisa uislam. Naamini uislam ni mzuri kabisa ila kuna watu wameiteka hii dini kwa sababu zao.
Hadi sasa sijaelewa ni utashi gani huo kwa watu wazima kutaka kumkamata mtoto wa miaka 14 ili wamuue kwa sababu amekojelea kitabu cha dini? Hivi kuna kufilisika kwa hekima zaidi ya hapo?
Lakini kubwa ambalo nadhani ndugu zangu waislam wanatakiwa wajiulize ni hili, watoto wao wanafundishwa nini kwenye madrass zao? Chanzo cha ugomvi huu tunaambiwa ni mtoto mmoja alimwambia mwenziwe kuwa akikojolea kuran atageuka mjusi. HuyO (mwenye kuran) alipata wapi hayo maneno? Nani alimwambia kuwa mtu akikojolea kuran anageuka mjusi? Na huyo mtu atakuwa amefundisha uwongo kiasi gani?
Hapa unaweza kuona kizazi kinavyokuzwa na mafundisho yaliyopinda. Na hawa ndio watoto tunaotegemea wawe taifa la kesho!
Mkuu, ukiangalia kisa kizima mtu unaona wazi wazi kwamba tukio hili ni la kupanga - si bahati mbaya wala nini sijuhi! Kilicho fanyika pale ni kumtegea bwana mdogo afanye kosa, hivi mtoto atakuwa na interest gani ya kubeba quran iliyo andikwa kwenye lugha ambayo ni ngeni kwake, walikuwa na uhakika gani kama mtoto si mpagani? Kwa nini hawakwenda kulalamika kwa wazazi wake? Makanisa yanahusika kivije na michezo ya watoto wadogo, repeate "watoto WADOGO?"
Wote tumepitia phase ya utoto, ni jambo la kawaida sana watoto kuwa Curious/inquisitive hasa wakielezwa jambo ambalo linaonekana ni kama mihujiza kwao, watafanya lolote wanalo ambiwa ili wa-quench kiu yao ya kuona mahajabu, katika mizingira kama hayo watoto wanakuwa wahanga wa kutumiwa vibaya na watu wazima wenye ajenda zao za SIRI.
Hizi vurugu za Mbagara zilikuwa zinafukuta kwa ndani kwa muda (juzi juzi walikuwa wanagombania sijuhi makaburi sijuhi ya kuzika mtoto mdogo kama sikosei!).
Walicho kuwa wanatafuta kwa muda mrefu ni kisingizio TU cha kuanzisha ZALI kwa kusingizia matendo ya watoto wadogo wasio tafakali MAMBO, walifikili Wakristo watahamaki na kutaka kulipiza kisasi hivyo kuwapa mwanya wakutimiza hidden agenda walizo kuwa nazo kwa muda mrefu! Ukweli wa mambo ni kwamba lengo lao limeshindwa miserably.
Labda nimalizie kwa kusema kwamba si waislaam wote wenye fikila za kutaka kuvuruga amani ndani ya TAIFA letu, bahati nzuri ni kwamba Marais Waislaam walio wahi kuongoza TAIFA letu ni wazalendo na weledi wanao tafakali mambo hawa-entertain fanatism zisizo kuwa na MSHIKO, oh yes "akili za kuambiwa wanachanganya na za KWAO" - matokeo yake TAIFA linabaki shwali bila labsha na ma-fanatics wanahishia in a SLAMMER.
bongo,usichanganye muislam na muumini wa kiislam,,,,,,,pia usichanganye mkristo na mmumini wa kikristo,,,,,,
muumin wa kiislam na wa kikristo anasali,na hanywi pombe,kwa ujumla hafanyi yote alokataza ALLAH,,,,,sasa ukisema wanakunywa bia sawa,waislam wanakunywa bia sikatai, lakini waumini wa kiislamu hawanywi bia, hawali nguruwe, hawazini,,,,,the same to waumin wa kikristo,
tukio la KUKOJOLEA QU'AN NDO LINAUDH KULIKO KUVUNJA MAKANISA na magar ya POLISI
Mungu wetu si mmoja, haiwezekani mungu mmoja aruhusu upande mmoja kuua na mwingine usamehe, asingeruhusu dini moja iabudu majini na nyingine ikemee majini
Hukumu yake ingekuwa rahisi mno, saa nyiiingi angekuwa ameishatangulia kuzimuIvi aliekojolea ni mkristu? wat if angekuwa muislam?
Raisi wetu ameelezewa kuwa na udini. Si ajabu anyaona yaliyotokea ni "jihad" ambayo kwa Imani yake ni halali. Mtoto Akikosea anakanywa na Hilo linaishia hapo. Katokana na tabia yake hasa ya mahusiano na wanawake mbalimbali inawezekan Mheshimiwa Raisi hakukanywa alipokua mdogo na Hilo linamfanya asielewe kwamba mtoto akishika kinyesi hakatwi mkono.Kama kweli JK hajakemea hiki kitenda atakuwa anaiharibu nchi yetu..inapofikia hatua ya watu kuvamia nyumba za ibada kama ishara ya kuonyesha hasira zao na Rais anakaa kmya ujue tunajitafutia laana kwa nchi.