MBURE JASHA
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 200
- 46
Mh. Rais Pole na matukio! or sory majukumu,
Kuna kipindi ulitaka kubadilisha staili ya kuongea nasi kama mr clean alivyokuwa anatuhutubia kila mwisho wa mwezi (yeye kila Mwezi alikuwa anachonga na watz).ingawa recorded. Wewe ukaja na moja mpya na ki ukweli ilikuwa nzuri. Kuongea live na lupokea simu za Wa Tz.
Ungeendelea nayo haki ya Mungu wakina Jairo,Anna Makinda ,Maghembe ,Sitta , Lowasa wasingekuchezea kama wanavyofanya sasa.
Umegundua nini mkubwa!
Rudia tena hata mara moja tu kwa mwaka. ninalo la kuuliza
Kuna kipindi ulitaka kubadilisha staili ya kuongea nasi kama mr clean alivyokuwa anatuhutubia kila mwisho wa mwezi (yeye kila Mwezi alikuwa anachonga na watz).ingawa recorded. Wewe ukaja na moja mpya na ki ukweli ilikuwa nzuri. Kuongea live na lupokea simu za Wa Tz.
Ungeendelea nayo haki ya Mungu wakina Jairo,Anna Makinda ,Maghembe ,Sitta , Lowasa wasingekuchezea kama wanavyofanya sasa.
Umegundua nini mkubwa!
Rudia tena hata mara moja tu kwa mwaka. ninalo la kuuliza