Hotuba inaendelea kama kawa kisa cha uchumi wetu kupuputika ni pipa la mafuta hukooooo uarabuni...antoa historia ya mfumuko wa bei na kupanda kwa gharama za vyakula......mmmh presidaaa wetu mcheshi.....
Hapa ndiyo huwa nashindwa kuwaelewa viongozi wa Bongo! yaani baada ya kiini cha matatizo yetu na tufanyeje ili tujikomboe,
badala yake wanaleta story na mifano ya nchi za nje....hebu angalia mkulu na hii mifano yake hapa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.