Mada ni majina teh teh teh!uko nje ya mada! Rudi kwenye mada
Mada ni majina teh teh teh!
Hata Padre Slaa alivyosoma seminari alikuwa anatumia jina la baba yake wa kambo kwa mujibu wa jamaa zake wa Karatu.
jK Luhanga.. Its sound..then huyu dokta aangalie asije akavamiwa na majambazi wakanyanganya laptop na hela..akachalangwa mapanga akapelekwa a.kusini.
na Samwel je? Naye chanzo ni baba wa kambo?
kwahiyo aliiba jina siyo ? Halafu ikawaje ?
still unanswered! Dr. Ngowi knows a lot.
Tusiyoyajua kuhusu Samwel Jakaya ni mengi sana
Hata Padre Slaa alivyosoma seminari alikuwa anatumia jina la baba yake wa kambo kwa mujibu wa jamaa zake wa Karatu.
Kwa mujibu wa Dr. Ngowi wa University of Bagamoyo aliyealikwa katika kipindi cha malumbano ya hoja. Anasema alisomea shule za seminari na kutumia jina la Samwel Luhanga na baadaye ndipo akatumia jina la Jakaya Mrisho Kikwete. Tuna mengi ya kujifunza.
Hongera Samwel Jakaya Kikwete
Chanzo: ITV malumbano ya hoja
Hata Padre Slaa alivyosoma seminari alikuwa anatumia jina la baba yake wa kambo kwa mujibu wa jamaa zake wa Karatu.
Sishangai "Sam, Sammy have been sweet names with sweet guys"Kwa mujibu wa Dr. Ngowi wa University of Bagamoyo aliyealikwa katika kipindi cha malumbano ya hoja. Anasema alisomea shule za seminari na kutumia jina la Samwel Luhanga na baadaye ndipo akatumia jina la Jakaya Mrisho Kikwete. Tuna mengi ya kujifunza.
Hongera Samwel Jakaya Kikwete
Chanzo: ITV malumbano ya hoja