Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,046
- 5,092
kwahiyo aliiba jina siyo ? Halafu ikawaje ?
still unanswered! Dr. Ngowi knows a lot.
Tusiyoyajua kuhusu Samwel Jakaya ni mengi sana
kwahiyo aliiba jina siyo ? Halafu ikawaje ?
:juggle::juggle: ya kina Philipo Mulugo mpaka kwa JK:A S-coffee::A S-coffee::A S-coffee:
Hata Rais Wa Marekani his excellence Barrack Hussein Obama alisoma huko Indonesia na Hawaii akiwa na baba wa kambo!! alitumia majina ya muda.
kwahiyo aliiba jina siyo ? Halafu ikawaje ?
Hata mimi ninemsikia ila mtangazaji akamkatisha haraka haraka!
Hata Padre Slaa alivyosoma seminari alikuwa anatumia jina la baba yake wa kambo kwa mujibu wa jamaa zake wa Karatu.
Muulize kwanza Dr.Slaa kwa nini ataki kutumia jina la baba yake mzazi.Kwa mujibu wa Dr. Ngowi wa University of Bagamoyo aliyealikwa katika kipindi cha malumbano ya hoja. Anasema alisomea shule za seminari na kutumia jina la Samwel Luhanga na baadaye ndipo akatumia jina la Jakaya Mrisho Kikwete. Tuna mengi ya kujifunza.
Hongera Samwel Jakaya Kikwete
Chanzo: ITV malumbano ya hoja
Teh teh teh! Unajua lakini kama Dr.Slaa atumii jina la baba yake mzazi anatumia jina la baba yake wa kambo?kwa hiyo baba wa kambo wa Kikwete ni Luhanga au Samwel? Umekurupuka, think twice
na Samwel je? Naye chanzo ni baba wa kambo?
Kwa mujibu wa Dr. Ngowi wa University of Bagamoyo aliyealikwa katika kipindi cha malumbano ya hoja. Anasema alisomea shule za seminari na kutumia jina la Samwel Luhanga na baadaye ndipo akatumia jina la Jakaya Mrisho Kikwete. Tuna mengi ya kujifunza.
Hongera Samwel Jakaya Kikwete
Chanzo: ITV malumbano ya hoja
:juggle::juggle: ya kina Philipo Mulugo mpaka kwa JK:A S-coffee::A S-coffee::A S-coffee:
Hata mimi ninemsikia ila mtangazaji akamkatisha haraka haraka!