Kikwete ni zawadi ya krismasi kwa wapinzani

Nilikuwa nasoma gazeti la Majira kuhusu Press Conference ya Rais Kikwete na nimefurahishwa na baadhi ya majibu ya maswali kuhusu ahadi zake za maisha bora kwa kila m-Tanzania.

Rais Kikwete alisema tofauti na mawazo ya baadhi ya watu kuwa ahadi hiyo imeshindwa kutekelezeka katika kipindi cha miaka miwili ya utawala wake, kilichofanyika ni kuweka misingi imara kwenye maeneo muhimu na kitakachofuata ni utekelezaji kuelekea mwaka 2010. "Ahadi ni za miaka mitano, tumeweka misingi, sasa tunapoelekea mwaka 2010 tunaweka matofali. ". (Source: Majira Ijumaa December 21, 2007)

Hivi haya si ndio yale yale maneno matamu tunayoyasikia kwenye kampeni za uchaguzi kila baada ya 5 years? Yale ya "Nipeni miaka mingine 5 ili nimalizie kazi, miaka 5 iliyopita nilikuwa najipanga vizuri".
 
Mnajua hizi rumours za Mungwana kujiengua 2010 nimezisikia sana hata kwa wapambe wake. Sasa sijui kama ndiyo techniques hizo au la. Lakini naomba kusema wazi kwamba mwezi huu nimepita katika maofisi mbalimbali za serikali na kuwasikia civil servants wakilalamika sana, hawana heshima kabisaa kwa mungwana na wengine wanatamka wazi na wao lazima 'wachote' kwa nini Mungwana na wapambe wake wafaidike peke yao! Now that shows bad moral.
Wanajeshi nao wananungunika kwa vile waziri wao ni ZERO sasa this is a dangerous combination.
A weak president+ frustrated civil servants+ disappointed electorate +angry military = disaster in its making.

Naomba wale mashabiki wasipende kubeza tu hoja kama hizi, kama ni washauri, wakae na kutafakari yaliyoandikwa!
 
Hizo fikra nzenu ni ndoto kweli. Wajinga wakubwa nyie. Mmeondoka TZ siku nyingi mnajifanya mnaelewa. Aagh!!!!

Kwa uchache wa maneno ya Suleiman ya kututukana kwa ujumla wetu naomba Afungiwe milele kuingia forum hii

Kutukana ni term kubwa, wapinzani walilalamikiwa kwa 'kumtukana' mkuu wa kaya. Yeye alichofanya ni 'kuignore' hayo matusi.

Sisi tuendelee kukata issue, hiyo ilikuwa expression yake katika kuwasilisha kile kilichokuwa kina mkera.kama atarudia then anaweza kuchukuliwa hatua kwa karipio.

Jamani si mnakumbuka ule wimbo wa chekechea? asiyependa shule ni 'MJINGA' kabisa x2.
 
Nilikuwa nasoma gazeti la Majira kuhusu Press Conference ya Rais Kikwete na nimefurahishwa na baadhi ya majibu ya maswali kuhusu ahadi zake za maisha bora kwa kila m-Tanzania.

Rais Kikwete alisema tofauti na mawazo ya baadhi ya watu kuwa ahadi hiyo imeshindwa kutekelezeka katika kipindi cha miaka miwili ya utawala wake, kilichofanyika ni kuweka misingi imara kwenye maeneo muhimu na kitakachofuata ni utekelezaji kuelekea mwaka 2010. "Ahadi ni za miaka mitano, tumeweka misingi, sasa tunapoelekea mwaka 2010 tunaweka matofali. ". (Source: Majira Ijumaa December 21, 2007)

Hivi haya si ndio yale yale maneno matamu tunayoyasikia kwenye kampeni za uchaguzi kila baada ya 5 years? Yale ya "Nipeni miaka mingine 5 ili nimalizie kazi, miaka 5 iliyopita nilikuwa najipanga vizuri".

Mkuu Capitol Hill,

Huyu Kikwete atasema mengi tu na sasa lakini the guy nchi imemshinda. Watu wengi ndani ya ccm wamejua mbinu chafu alizotumia kummaliza Salim pamoja na wapinzani wake wengine na kila mtu anashangaa jinsi anavyokumbatia mafisadi kina Karamagi and the Co.

The guy is in trouuble, swali linalozunguka sasa hivi ni kuwa je Kikwete atamaliza miaka yake mitano? au ndio ile secret plan ya kumwachia mzee wa Kasungura the great Richmonduli - Lowasa in 09?
 
Mkuu Capitol Hill,

Huyu Kikwete atasema mengi tu na sasa lakini the guy nchi imemshinda. Watu wengi ndani ya ccm wamejua mbinu chafu alizotumia kummaliza Salim pamoja na wapinzani wake wengine na kila mtu anashangaa jinsi anavyokumbatia mafisadi kina Karamagi and the Co.

The guy is in trouuble, swali linalozunguka sasa hivi ni kuwa je Kikwete atamaliza miaka yake mitano? au ndio ile secret plan ya kumwachia mzee wa Kasungura the great Richmonduli - Lowasa in 09?

yaani akilogwa akamwachia AIR UCHUMI, hakika hata (DEMOKRASIA MAKINI) kile chama cha Prof, SHAYO kitachukua Dola.. nani ampe kura yake Richmonduli??
 
Wala tusiumie vichwa na watu kama Suleiman ila tuwatumie kama ni kigezo cha kuwa joto hili kali linawafikia.
Mwafrika wa kike hongera sana kwa kuanzisha mada kama hii kwani tunahitaji mawazo tofauti ili tupate kuchekecha ungo kutoa pumba. Mchele bila pumba unapatikana dukani huko kwa kina Suleiman, sisi hapa tupo kijijini kwa hiyo wala isitupe shida.
Tunawahitaji watu kama huyu kuelewa kuwa kazi sii ndogo, nakumbuka mwalimu Nyerere alikupokuwa akikutana na watu kama hawa alikuwa akiwajaza ujinga zaidi kwa sababu upeo wa mfungwa huishia ktk kuta za magereza.... Atayajua vipi ya nje kama sio matusi tu kwake?
 
Siasa kitu cha ajabu sana, Joji Kichaka na madudu yake yote aliyofanya bado alikuwa re-elected kwa kura nyingi tuu..Hizi wishes za jeshi kuchukua nchi watanzani tunazitoa wapi? zitakuja kututokea puani jamani sasa huyo Mwamunyange akichukua nchi ndio matatizo yataisha? duh JK kumwachia nchi EL naona katiba itapindishwa na kumruka makamu wa rais. Alafu natumaini wapinzani wanastrategy nyingine zaidi ya issue ya MAFISADI or else matokeo yatakuwa kama yale ya uchaguzi wa udiwani.
 
African politics is different, i don't know if any one can predict where Jakaya Mrisho Kikwete will take us.
One thing i know is, Jakaya will not quit no matter what, they guy have eagle which dominate his life decisions.

The question rise on my head all the time is, will Tanzania survive for more century? Will people take this bullsheet? Those are few questions which i can't answer.

Wish my fellow Tanzanian goodluck, i'm still searching for new citizenship.
 
Nilikuwa nasoma gazeti la Majira kuhusu Press Conference ya Rais Kikwete na nimefurahishwa na baadhi ya majibu ya maswali kuhusu ahadi zake za maisha bora kwa kila m-Tanzania.

Rais Kikwete alisema tofauti na mawazo ya baadhi ya watu kuwa ahadi hiyo imeshindwa kutekelezeka katika kipindi cha miaka miwili ya utawala wake, kilichofanyika ni kuweka misingi imara kwenye maeneo muhimu na kitakachofuata ni utekelezaji kuelekea mwaka 2010. "Ahadi ni za miaka mitano, tumeweka misingi, sasa tunapoelekea mwaka 2010 tunaweka matofali. ". (Source: Majira Ijumaa December 21, 2007)

Hivi haya si ndio yale yale maneno matamu tunayoyasikia kwenye kampeni za uchaguzi kila baada ya 5 years? Yale ya "Nipeni miaka mingine 5 ili nimalizie kazi, miaka 5 iliyopita nilikuwa najipanga vizuri".

Unajua JK anafikiri bado tuko kwenye kampeni za uchaguzi.

Hana habari kama mpira tayari huko uwanjani.

Ndio maana alituma mawaziri kutangaza utamu wa bajeti.
 
Back
Top Bottom