chilamjanye
Senior Member
- Oct 5, 2007
- 110
- 3
KIKWETE NI KIRAZA SANA? HUDANGANYWA KILA WAKATI
Rais anayemaliza muda wake ameonekana kuwa na uwezo mdogo wa kuongoza kwani amekuwa akidanganywa kila wakati. Pamoja na kupewa cheki feki alidanganywa pia kwa kuwekewa vipengele vya sheria kwenye sheria ya kuthibiti matumizi mabaya wakati wa Uchaguzi mpaka pale Mbunge Makini Dr.Wilbroad Slaa alipogundua na kuwashtua serikali kwa kudanganyana. Pia tulishuhudia akihairisha dhifa ya kukabidhi Magari baada ya kuletewa mkurugezi tofauti na yule aliyetakiwa kuja kupokea gari, Alifungua Hoteli Arusha ambayo Kesho yake Geti lilivujwa kwa sababu lilijengwa eneo la barabara (Road Reserve) na Aliwekewa Mafuta yaliyochakachuria kwenye Magari yake. Sasa nasikia pia pamoja na kuumwa sana tu kufikia kuanguka mara kwa mara madaktari huwa wanamdanganya kwamba haumwi na yeye anakubali.
Rais anayemaliza muda wake ameonekana kuwa na uwezo mdogo wa kuongoza kwani amekuwa akidanganywa kila wakati. Pamoja na kupewa cheki feki alidanganywa pia kwa kuwekewa vipengele vya sheria kwenye sheria ya kuthibiti matumizi mabaya wakati wa Uchaguzi mpaka pale Mbunge Makini Dr.Wilbroad Slaa alipogundua na kuwashtua serikali kwa kudanganyana. Pia tulishuhudia akihairisha dhifa ya kukabidhi Magari baada ya kuletewa mkurugezi tofauti na yule aliyetakiwa kuja kupokea gari, Alifungua Hoteli Arusha ambayo Kesho yake Geti lilivujwa kwa sababu lilijengwa eneo la barabara (Road Reserve) na Aliwekewa Mafuta yaliyochakachuria kwenye Magari yake. Sasa nasikia pia pamoja na kuumwa sana tu kufikia kuanguka mara kwa mara madaktari huwa wanamdanganya kwamba haumwi na yeye anakubali.