Kikwete ni kiongozi mzuri sana kwa mtazamo wangu, lakini ushkaji sasa..

sexologist

JF-Expert Member
Dec 5, 2010
2,283
976
Ninafatilia kwa umakini sana sherehe za siku hii ya wafanyakazi mjini Tanga..

Kati ya mambo yanayonivutia ni hii hotuba ya JK anayoendelea kuitoa. Kiukweli imepangiliwa vizuri sana, na sehemu kubwa ya hotuba anatoa kichwani. Jamaa amegusia almost kila nyanja hapa nchini hasa sensitive matterz, kama ripoti ya CAG, Katiba mpya, mfumko wa bei, ajira n.k na mkakati wa serikali katika kukabiliana na kurekebisha changamoto zote zilizopo, ikiwa ni pamoja na kutekeleza matakwa ya kamati za bunge {kureform ministerz cabinet}.

Zaidi ni jinsi alivyojidadavua kwamba yeye ndio chachu au kiini cha uwazi katika masuala ya serikalini hasa matumizi ya jambo {Mkapa hakufanya hivi},

Japo siipendi CCM toka moyoni, ila naunga mkono hotuba ya JK ya leo..

Remains true Revolutionalist
Mbumbumbu mwenye akili.
 
JK usimpe nafasi akaongea utamkubali sana sana...na strategy zake mdomoni.....ila utekelezaji wake utashangaa anakuwa kama amerogwa!!!na leo anatufundisha JK anahutubia taifa au anafundisha public auditing act
 
Anachokifanya JK ni sawa, huwezezi kiongozi kuamka na kukurupuka kufukuza watu, nchi ni yetu sote, pamoja na wale tunaowapenda na tusio wapenda( wezi na mafisadi pia) ni part ya raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!
 
JK usimpe nafasi akaongea utamkubali sana sana...na strategy zake mdomoni.....ila utekelezaji wake utashangaa anakuwa kama amerogwa!!!na leo anatufundisha JK anahutubia taifa au anafundisha public auditing act

Jamaa ukue sasa,,uwe na Fikra Jengefu na si za upinzani milele...
Kama akiwa anautubia Taifa na kuchukua fursa hyo kuwafundisha wananchi wake kuna Ubaya gani..
Hiyo ni moja kati ya Sifa za Viongozi Bora..
Nimependa Binafsi na kumwelewa sana Presidaa..
 
Anachokifanya JK ni sawa, huwezezi kiongozi kuamka na kukurupuka kufukuza watu, nchi ni yetu sote, pamoja na wale tunaowapenda na tusio wapenda( wezi na mafisadi pia) ni part ya raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!


Kweli Kabisa na kwa wasiojua,,Tanzania ni 1 kati ya nchi zilosaini mikataba ya kimataifa kuwa nchi inayofata Demokrasia na Utawala Bora....
Na swala la kutumia hisia kuukumu si sehemu ya mikataba hii...
Mahakama ndiyo pekee yenye mamlaka kuamua kuwa nani mkosa, nani anahaki na nani mwizi na hukumu wanazo wao, sio Rais..
Lazima 2jue hili jamani
 
Jamaa ukue sasa,,uwe na Fikra Jengefu na si za upinzani milele...
Kama akiwa anautubia Taifa na kuchukua fursa hyo kuwafundisha wananchi wake kuna Ubaya gani..
Hiyo ni moja kati ya Sifa za Viongozi Bora..
Nimependa Binafsi na kumwelewa sana Presidaa..

kua kwanza wewe ndio utaelewa kutofautisha siasa na utendaji
 
mtazamo wako wa ajabu ni sawa na kusema kuwa flani ana roho nzuri sana sema kinacho muharibia ni muuaji.
Sasa kitendo cha raisi wako kuwa na ushikaji kwenye masuala ya msingi basi hilo tayari linamwondolea sifa ya kuwa kiongozi bora.
 
Ninafatilia kwa umakini sana sherehe za siku hii ya wafanyakazi mjini Tanga..

Kati ya mambo yanayonivutia ni hii hotuba ya JK anayoendelea kuitoa. Kiukweli imepangiliwa vizuri sana, na sehemu kubwa ya hotuba anatoa kichwani. Jamaa amegusia almost kila nyanja hapa nchini hasa sensitive matterz, kama ripoti ya CAG, Katiba mpya, mfumko wa bei, ajira n.k na mkakati wa serikali katika kukabiliana na kurekebisha changamoto zote zilizopo, ikiwa ni pamoja na kutekeleza matakwa ya kamati za bunge {kureform ministerz cabinet}.

Zaidi ni jinsi alivyojidadavua kwamba yeye ndio chachu au kiini cha uwazi katika masuala ya serikalini hasa matumizi ya jambo {Mkapa hakufanya hivi},

Japo siipendi CCM toka moyoni, ila naunga mkono hotuba ya JK ya leo..

Remains true Revolutionalist
Mbumbumbu mwenye akili.

Utamu wa meneno atoayo ni tofauti na dhamira ya moyo wake!
Kazaliwa pwani huyo ooohhoooo!
Kalaga baho
 
mi naamini matendo yana sauti kubwa kuliko maneno,JK n m2 wa ahadi saaaana,yaan full kuongea ila utekelezaji ndugu yangu....!ni zero,mi sioni jipya hapo maana"naijua timu yangu mjombaaa"
 
Hata la kuijenga CIG ikaboreka na kuchimbua madudu tunayoyaona sasa nalo si jambo la kupongeza?
 
aaaah hakuna kitu hapo Vasco Dagama mzee wa route tuendelee kunywa chai na vipande vya sukari guru
 
Anachokifanya JK ni sawa, huwezezi kiongozi kuamka na kukurupuka kufukuza watu, nchi ni yetu sote, pamoja na wale tunaowapenda na tusio wapenda( wezi na mafisadi pia) ni part ya raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!

wewe utakuwa kati ya Mafisadi wa EPA, MEREMETA, DEEP GREEN, KAGODA, LOLIONDO NK! HUWEZI KUWA SHALLOW MINDED NAMNA HII KHAAAA!!
 
Kikwete ni kiongozi mzuri kwa mafisadi lakini si kwa wapenda haki na maendeleo. Mchunguze tena.
 
So JK ni km watanzania wengine tu maneno kibaoooo lkn utendaji zeroooooooooooooo
 
Ninafatilia kwa umakini sana sherehe za siku hii ya wafanyakazi mjini Tanga..

Kati ya mambo yanayonivutia ni hii hotuba ya JK anayoendelea kuitoa. Kiukweli imepangiliwa vizuri sana, na sehemu kubwa ya hotuba anatoa kichwani. Jamaa amegusia almost kila nyanja hapa nchini hasa sensitive matterz, kama ripoti ya CAG, Katiba mpya, mfumko wa bei, ajira n.k na mkakati wa serikali katika kukabiliana na kurekebisha changamoto zote zilizopo, ikiwa ni pamoja na kutekeleza matakwa ya kamati za bunge {kureform ministerz cabinet}.

Zaidi ni jinsi alivyojidadavua kwamba yeye ndio chachu au kiini cha uwazi katika masuala ya serikalini hasa matumizi ya jambo {Mkapa hakufanya hivi},

Japo siipendi CCM toka moyoni, ila naunga mkono hotuba ya JK ya leo..

Remains true Revolutionalist
Mbumbumbu mwenye akili.

Hivi kuna watu mpaka leo wanakuwa impressed na hotuba?
 
Taja sifa za kiongoz mzuri
Ninafatilia kwa umakini sana sherehe za siku hii ya wafanyakazi mjini Tanga..

Kati ya mambo yanayonivutia ni hii hotuba ya JK anayoendelea kuitoa. Kiukweli imepangiliwa vizuri sana, na sehemu kubwa ya hotuba anatoa kichwani. Jamaa amegusia almost kila nyanja hapa nchini hasa sensitive matterz, kama ripoti ya CAG, Katiba mpya, mfumko wa bei, ajira n.k na mkakati wa serikali katika kukabiliana na kurekebisha changamoto zote zilizopo, ikiwa ni pamoja na kutekeleza matakwa ya kamati za bunge {kureform ministerz cabinet}.

Zaidi ni jinsi alivyojidadavua kwamba yeye ndio chachu au kiini cha uwazi katika masuala ya serikalini hasa matumizi ya jambo {Mkapa hakufanya hivi},

Japo siipendi CCM toka moyoni, ila naunga mkono hotuba ya JK ya leo..

Remains true Revolutionalist
Mbumbumbu mwenye akili.
 
Sipendi hotuba za JK, ni za kinafiki, nitapenda pale atakapo wafuta kazi mawaziri wezi na kuhakikisha wanarudisha fedha ZOTE WALIZOLITIA TAIFA HASARA, kufungwa miaka 30 au kunyongwa mpaka kufa na kutaifisha mali zao zote. Wote tuseme aameeen!
 
Sipendi hotuba za JK, ni za kinafiki, nitapenda pale atakapo wafuta kazi mawaziri wezi na kuhakikisha wanarudisha fedha ZOTE WALIZOLITIA TAIFA HASARA, kufungwa miaka 30 au kunyongwa mpaka kufa na kutaifisha mali zao zote. Wote tuseme aameeen!

Kunyongwa mpaka kufa? Unagawa roho wewe? Nashukuru Mungu wewe si hakimu na sheria haitungwi na mtu mmoja.
 
Kwenye kichwa cha habari yako, neno lililobeba ukweli ni "LAKINI" wajuzi wa lugha mmenielewa.
 
Kiongozi shupave ni yule aliyekubali constructive criticism. JK ni mmojawapo uhuru wa habari na sio kuchukua maamuzi magumu ila kufanya maamuzi yenye busara.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom