Ni wakati muafaka sasa kwa wanachama,wapenzi na viongozi wa CCM kutambuaa hatari ya kuwa na Mkiti/mwanachama wa aina ya Kikwete ndani ya chama chao.
Hali ya kisiasa nchini inaonyeshaa dhahirii,Kikwete alivyowezaa kukidhoofishaa CCM kupitiaa hulka yake ya kupendaa kufanya kazi kupitia mitandao.
Kwa sasa CCM imekuwaa dhaifu kuliko wakati wowote wa historia yake na hivyoo kuwa katika hatari ya kuvunjikaa kutokana na makundi yanayoasimianaa ndani ya chama kwa kasi ya ajabu.
Wana CCM amkeni!!!!!!!
Hali ya kisiasa nchini inaonyeshaa dhahirii,Kikwete alivyowezaa kukidhoofishaa CCM kupitiaa hulka yake ya kupendaa kufanya kazi kupitia mitandao.
Kwa sasa CCM imekuwaa dhaifu kuliko wakati wowote wa historia yake na hivyoo kuwa katika hatari ya kuvunjikaa kutokana na makundi yanayoasimianaa ndani ya chama kwa kasi ya ajabu.
Wana CCM amkeni!!!!!!!