Kikwete ni hatari zaidi kwa ccm kuliko dr slaa

Nyauba

JF-Expert Member
Jul 10, 2008
1,098
105
Ni wakati muafaka sasa kwa wanachama,wapenzi na viongozi wa CCM kutambuaa hatari ya kuwa na Mkiti/mwanachama wa aina ya Kikwete ndani ya chama chao.

Hali ya kisiasa nchini inaonyeshaa dhahirii,Kikwete alivyowezaa kukidhoofishaa CCM kupitiaa hulka yake ya kupendaa kufanya kazi kupitia mitandao.

Kwa sasa CCM imekuwaa dhaifu kuliko wakati wowote wa historia yake na hivyoo kuwa katika hatari ya kuvunjikaa kutokana na makundi yanayoasimianaa ndani ya chama kwa kasi ya ajabu.

Wana CCM amkeni!!!!!!!
 
Tuko macho,usifikiri hao wanaoandamana na kutaka atoke madarakani wote ni CHADEMA,maisha magumu yanatufanya tuwe wamoja na kuweka ushabiki wa chama pembeni....tunaunga mkono wale wanaotuonyesha njia ya kupata haki zetu na si siasa za CCM za kulindana na kunufaisha wachache wengi tukiteseka.....kwa hali ya sasa,hakuna hata anayesinzia ndugu yangu!!!!CCM haijadhoofika tu iko mahutihuti.
 
Ni wakati muafaka sasa kwa wanachama,wapenzi na viongozi wa CCM kutambuaa hatari ya kuwa na Mkiti/mwanachama wa aina ya Kikwete ndani ya chama chao.

Hali ya kisiasa nchini inaonyeshaa dhahirii,Kikwete alivyowezaa kukidhoofishaa CCM kupitiaa hulka yake ya kupendaa kufanya kazi kupitia mitandao.

Kwa sasa CCM imekuwaa dhaifu kuliko wakati wowote wa historia yake na hivyoo kuwa katika hatari ya kuvunjikaa kutokana na makundi yanayoasimianaa ndani ya chama kwa kasi ya ajabu.

Wana CCM amkeni!!!!!!!

Ningependa kuona watu wa aina ya Samuel Six wanapewa kuongoza nchi hii.
 
Tuko macho,usifikiri hao wanaoandamana na kutaka atoke madarakani wote ni CHADEMA,maisha magumu yanatufanya tuwe wamoja na kuweka ushabiki wa chama pembeni....tunaunga mkono wale wanaotuonyesha njia ya kupata haki zetu na si siasa za CCM za kulindana na kunufaisha wachache wengi tukiteseka.....kwa hali ya sasa,hakuna hata anayesinzia ndugu yangu!!!!CCM haijadhoofika tu iko mahutihuti.

tena hatari kwelikweli!!!!
 
CPU watu wa calibre ya Six ni threat ndani y ccm haitatokea wakapewa uongozi katika ngazi ya juu zaidi ya hapo alipo kama una kumbuka mwaka 1966 six na wanachuo wenzake waligoma kwa kupinga mfumo wa kinyonyaji kwani watu wachache walikua wanafaidi rasilimali za nchi ingawa Mwl Nyerere aliwafukuza chuoni lakini kwa kuanzia alijipunguzia yeye na mawaziri mishahara yao na kukiri kuwa kweli walikua ni moja ya mfumo wa kinyonyaji sasa kama SIX aliweza kumchalenji Mwl hawa waliopo si ndio atawasambaratisha kabisa ndio maana wanataka kumfanya awe underdog muda wote
 
SIX yeye tuu kawa mnafiki kwa kujifanya anasomaa mchezo kwa tahadharii..kiukwelii anao kauwezo cha kuwatingishaa sana..ila lazima awe mwangalifuu kwani naye wanamjuaa vemaa tuu. pia bado kwa dhati moyonii hajaguswaa kuwakomboaa watanzaniaa kiutawala nje ya CCM.

Kundi lao (akina SIX) linakua na natumai mpka 2015 watakuwa na idadi ya kutosha kutoa kauli ya pamoja ndani ya chamaa..na huendaa mkwere akawa anawachekeaa kiania awatumie kuvukaaa..
 
Ni wakati muafaka sasa kwa wanachama,wapenzi na viongozi wa CCM kutambuaa hatari ya kuwa na Mkiti/mwanachama wa aina ya Kikwete ndani ya chama chao.

Hali ya kisiasa nchini inaonyeshaa dhahirii,Kikwete alivyowezaa kukidhoofishaa CCM kupitiaa hulka yake ya kupendaa kufanya kazi kupitia mitandao.

Kwa sasa CCM imekuwaa dhaifu kuliko wakati wowote wa historia yake na hivyoo kuwa katika hatari ya kuvunjikaa kutokana na makundi yanayoasimianaa ndani ya chama kwa kasi ya ajabu.

Wana CCM amkeni!!!!!!!

Niliwahi kushauri CCM wachukue uzoefu wa ANC dhidi ya Thabo Mbeki na wafanye mabadiliko ya uongozi ili kurudisha dhana ya CCM chama cha Wakulima na Wafanyakazi.
 
Ningependa kuona watu wa aina ya Samuel Six wanapewa kuongoza nchi hii.
safi Kiongozi,kwahiyo ugomvi wako ni dhidi ya baadhi ya wanachama wa ccm na sio wote wa ccm,maana kama mh Samuel 6 akiiongoza nchi c ccm bado itakuwa inaongoza? au watu wa aina ya kina Samuel 6 ni akina nani?
 
Kufa kwa CCM ni heri yetu sisi cause imekuwa kama jok linalokula watu.
 
RA, EL, NK ndo wenye remote ya ikulu. Ni kama movie za ki-vampire, akikung'ata unakuwa mmoja wao. JK ni Vampire already.
Wanasambaa kama magugu. Kutegema SIX et al watakuwa na influence CCM 2015 4get it.
The only way ni kuzika CCM. System corrpted.
To restart Tanzania.
 
Yes,
kwa hesabu za kawaida za pinda

MKapa + Mangura + EPA + All ccm members = 80% in 2005
Kikwete + Makamba + R1 + Salma + TISS +Kinana + Dowans = 61% in 2010
kazi ipo 2015.
 

Rais Jakaya Kikwete akiagana na Msaidizi wa Makamu wa Rais Bw . Agostin Ngonyani pamoja na viongozi wengine wa serikali kwenye uwanja wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam Jana alipokuwa akielekea nchini ufaransa na Ivory Coast. Kushoto ni Makamu wa Rais Dk. Gharib Bilal.


Rais Jakaya Mrisho Kikwete anatarajiwa kutoa mada juu ya umuhimu wa shughuli za uziduaji na uwazi katika mapato ya madini katika mkutano wa Kimataifa wa Tasnia ya Uziduaji, (Global Extractive Industries Transparency Initiative -EITI), ambayo ina malengo ya kuongeza uwazi na uwajibikaji katika mapato yatokanayo na uchimbaji wa madini, mafuta na gesi asilia.​

Mkutano huo wa siku mbili unaanza kesho, Jumatano, Machi 2, 2011 jijini Paris, Ufaransa, na Rais Kikwete anaondoka nchini leo asubuhi kwenda kuhudhuria mkutano huo.​

Tanzania iliomba na kupewa uanachama wa muda wa EITI tangu mwaka 2009. Tanzania itaweza kupata uanachama kamili baada ya kuwa imekamilisha na kutimiza vigezo vya kuwa mwanachama kamili na kuweka misingi ya utoaji taarifa hizo muhimu kwa umma juu ya malipo ya kodi kutoka makampuni mbalimbali yaliyopo nchini.​

Lengo kuu la kujiunga na EITI ni kuongeza uwazi na uwajibikaji katika usimamizi wa rasilimali za madini, mafuta na gesi asilia kwa kutangaza hadharani malipo yanayotokana na rasilimali zake kwa manufaa ya wananchi wake.Utaratibu huu utaweka uwazi na kuondoa usiri ambao unaweza kuwa mwanya wa kuficha mapato halisi ya makampuni husika.​

Baada ya kumaliza mkutano huo wa Paris, Ufaransa, Rais Kikwete atasafiri kwenda moja kwa moja Nouakchott, Mauritania kwa ajili ya kikao cha marais wa Afrika wanaotafuta suluhisho la tatizo la kisiasa katika Ivory Coast.​

Katika Mauritania, Rais Kikwete atajiunga na marais wa Mauritania, Afrika Kusini, Burkina Faso, Chad, Nigeria na Equatorial Guinea pamoja na wawakilishi wa Jumuia ya Uchumi ya Afrika Magharibi (ECOWAS), Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika (AU) Balozi Jean Ping na Mwakilishi wa Umoja wa Mataifa (UN).​

Katika kikao hicho, viongozi hao watafikia uamuzi wa AU kuhusu mzozo huo na kupendekeza namna gani ya kuutatua mzozo huo uliolipuka kufuatia raundi ya pili ya upigaji kura katika Uchaguzi Mkuu wa Ivory Coast Novemba 28, mwaka jana, 2010.​

Matokeo yake, nchi hiyo imegawanyika katika sehemu mbili, moja ikimuunga mkono aliyekuwa waziri mkuu wa nchi hiyo, Mheshimiwa Alassane Quattara na nyingine ikimuunga mkono Rais aliyekuwa anatetea kiti chake katika uchaguzi huo, Mheshimiwa Laurent Gbagbo.​

Kila mmoja kati ya wanasiasa hao amejitangaza kuwa Rais na kila mmoja ameunda na kutangaza Serikali katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi.Wiki iliyopita, viongozi hao wa Afrika walikutana mjini Nouakchott na baadaye wakaenda Abidjan, Ivory Coast ambako walikutana na viongozi hao wawili nchini humo katika jaribio la kutafuta suluhisho la mzozo huo.​




Imetolewa na:


Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,


Ikulu,



DAR ES SALAAM
 
Lini TZ tutaipata bahati ya raisi wa tz kufariki ili uchaguzi urudiwe na mambo yaanze moja?

This JK is a curse, he deserves hell. We are tired, u r the worst ever.
 
Back
Top Bottom