CUF Ngangari
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 273
- 51
katika marais wote waliopita nchini ni kikwete ndiye anayeoneka kuendeleza demokrasia nchini, amevipa uhuru mkubwa vyombo vya habari uhuru mkubwa wa kukosoa serikali yake, maandamano yameruhusiwa kinyume kipindi cha mkapa ambapo serikali yake iliuwa watu zaidi ya 70 katika maandamano yaliyoitishwa na CHAMA CHA WANAINCHI- CUF, Leo magazeti yanachora katuni za kumtusi na kumdhalilisha Rais kikwete, kwa kweli nchi imepiga hatua kubwa kipindi hiki cha kikwete.