siwezi kuleta picha kaka.Sasa hivi ndio anahutubia,ameanza kuzungumzia sekta ya elimu.Ameahidi kujenga mahabara ktk shule zote za kata wilayani
Amezungumzia suala la kuwa rais wa kwanza africa kukutana na obama
Amezungumzia suala la kuwa rais wa kwanza africa kukutana na obama
Mimi sasa nasubiri siku ya mwisho pale jangwani, nafikiri ataahidi kujenga choo kwa kila mwananchi!!!
Amezungumzia suala la kuwa rais wa kwanza africa kukutana na obama
Atatuahidi bajaj na petrol lita 20 kwa kila mtanzania, hivi jamani huwa haulizwi maswali? nilitaka kujua swala la mafisadi atalisolve vipi
Vyandarua vya Bush.....! Then, bora watu wakajitafutie mikate yao ya kila siku, nami ningekuwepo ningefika, then naondoka katikati ili kumuonesha kuwa hana la kusikilizwa....1Anaelezea jinsi anavyopambana na malaria,hasa zoezi la ugawaji wa vyandarua.Ila watu wanaanza kuondoka.Anasema tena ukimwi ni ugonjwa wa kujitakia.
Amezungumzia suala la kuwa rais wa kwanza africa kukutana na obama