AirTanzania
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 1,139
- 1,033
Ukweli siku zote unabakia ukweli, Kikwete nchi imeshamshinda ila anaona aibu kuachia ngazi kuwa ataonekana Kilaza wakati ni kilaza na anazidi kuiharibu nchi yetu. Nchi imekubwa na Matukio juu ya Matukio, Mawaziri pia ni Vilaza, Hasa Waziri wa Fedha na Sheria ni Vilaza kuliko Bosi wao.
KIKWETE NCHI IMEKUSHINDA USIONE AIBU KUNG'ATUKA TOOOOOKA HATUKUTAKI YOUR A LOOOSER
KIKWETE NCHI IMEKUSHINDA USIONE AIBU KUNG'ATUKA TOOOOOKA HATUKUTAKI YOUR A LOOOSER