Kikwete: Nataka kurithiwa na rais kijana!

Analeta propaganda ili HUSSEIN MWINYI awe RAIS hapa amekosea watanzania wa leo si wa miaka ya 60,hizo kauli akawambiye MAGAMBA wenzake,ZITTO hawezi kuwa RAIS kwasababu ni mnafiki mpaka juzi kwenye mikutano na mandamano ya CHADEMA ndiyo kaanza kujisafisha kwa kusema MBOWE ndiyo kamfundisha siasa na kumsaidia kuwa MBUNGE.
 
Tatizo la kiongozi wa Tanzania siyo umri wake.
Ni kweli labda kama anaanza kuomba huruma za wananchi mapema, yeye alikuwa raisi kijana sasa na alipigiwa debe sana kwa kauli hizo
hisitoshe kama yeye alijua umri wake au umri ni tatizo kwa nini aligombea miezi 9 iliyopita angepisha basi

Analeta propaganda ili HUSSEIN MWINYI awe RAIS hapa amekosea watanzania wa leo si wa miaka ya 60,hizo kauli akawambiye MAGAMBA wenzake,ZITTO hawezi kuwa RAIS kwasababu ni mnafiki mpaka juzi kwenye mikutano na mandamano ya CHADEMA ndiyo kaanza kujisafisha kwa kusema MBOWE ndiyo kamfundisha siasa na kumsaidia kuwa MBUNGE.

Hilo ndio lengo lake sasa hawa waona vimba kichwa na kuanza tarumbeta kwamba wao ndio wanafaa ,
wanachofanya ni kututangazia umma wao wanachotaka ni uraisi tu kwa namna yoyote ile.
mzalendo wa kweli anaweza kupigana kwa cheo chochote kile. zaidi umoja ni nguvu, Kikwete ni dhaifu katualibia nchi
 
Hakuna mtu anyejua mgombea urais wa chadema 2015.Sasa kuna watu wanakuja hapa tu kushambulia watu.Tafadhali naomba tuwe makini,tuwe wachambuzi tuepuke ushabiki katika michango yetu.Kwenye suala linalohusu taifa letu,tuangalie uwezo wa watu.

Kwa sasa hivi Chadema inaangalia jinsi ya kujenga chama na kuimarisha harakati zake kuchukua Dola.Kuhusu ni nani atakayekuwa mgombea,it's to early to speculate.Tusiingie mtegoni kiasi hiki.

Kitu cha ajabu ni kwamba wale wale waliokuwa wanadai chadema ni ya wachagga,leo hii wanasema Saanane yuko mtandao wa huyu mara yule bila kujali kabila au dini.duh...watu wanakuwa ma-genius kweli kweli linapokuja suala la maslahi yao.Ila nimegundua kitu kimoja,hatupendi ukweli,watanzania hatutaki uwazi na ndiyo maana tunaogopa kuchukua maamuzi magumu au kufanya yale yanayoonekana kwamba hayawezekani.

Natoa Rai kwa vijana,hasa wasomi ambao naamini kabisa ni wachambuzi na si mashabiki kuwa tujaribu kutafakari kila jambo tunaloambiwa,siasa yetu Tanzania imekuwa ni ya kishabiki,kuchafuana,kujipendekeza nk. Sasa tuwe makini kwa hilo kabla hatujafanya judgement.Vijana tuunganishe nguvu tulikomboe taifa letu,miaka 50 iliyopita bado serikali yetu imeshindwa kuweka mikakati ya kuwasaidia vijana.Leo hii ninapoandika hapa nafuatilia Bunge,Mambo yanayoendelea hapa yanasikitisha, yanatia hasira,yanaleta uchungu kwa kile kinachoendelea .........sijui tunaelekea wapi kama taifa.Hebu tuache ushabiki,tupate fursa ya kutafakari na kuwa na judgement ambayo haijawa influenced na watu wengine kwa maslahi yao na kwa gharama za wengine
 
Tusiowasahaulifu na tunaojua kuunganisha dot tunajua what is going on! Majaliwa yakitokea yakutokea tutawaonesha nini tulimaanisha,sasa hv hatueleweki kwa wengi! Mambo yanaenda taratibu na kwa hatua! werevu kimyaaa kwanza!

mnafiki au mwelevu, weka wazi acha unafki wewe na majungu yako, najua ulichotaka kusema acha kung'ang'ania umaruufu ulioanza kuupoteza.
 
Kikwete ametambua kuwa "legacy" yake ni aibu, aibu, aibu. Angependa Rais atakayekuja awe "disasterous" kuliko yeye ili Wadanganyika waseme BORA Kikwete. Can you imagine a better recipe for a coup detat than another Rostam funded President? God forbid!
 
Duh, hapa Mkuu naona humtendei haki Zitto. Sidhani kama ni wakati wa kuendeleza mambo ambayo Zitto, Mbowe na Dr.Slaa wote kwa nyakati tofauti wamekanusha kuwepo kwa mgogoro wowote. Of course kutakuwa na differences lakini kuendelea kushambuliana kwa mambo yasiyo na kichwa si kujenga bali ni kukibomoa Chadema. Ni mtazamo wangu tu

Sasa kuna watu wanataka kulazimisha migogoro ndani ya vyama kwa sababu ya ushabiki wao na kujipendekeza tu.jamani watu wa aina hiyo wapuuzeni kwa sababu they are good for nothing!watu wa aina hiyo hawaisaidii chadema,chadema hapa kilipofikia hakihitaji viongozi mashabiki kinahitaji viongozi wachambuzi,hakihitaji wakuu wa kambi bali kina hitaji wakuu wa maono ya mbali na kujua watanzani na Tanzania kama Taifa inahitaji nini.Hao wengine jamani wapuuzeni tu hawana lengo jema na CHADEMA,wana malengo ya kudumu na maslahi yao tu na wako katika upande mbaya wa democracy

Tatizo la kiongozi wa Tanzania siyo umri wake.

Ni kweli,ila tu watu wasije wakatafsiri kwamba viongozi vijana hawahitajiki au tusije tukarudi kule kule kwamba vijana bado hawajakomaa/tuwasubiri wakue.Ni hatari,itakuwa an assault on democracy! sidhani kama kuna mtanzania mwenye mapenzi mema na taifa hili atakayevumilia...guess what will happen!!
 
Rais Kikwete hajakosea,na pia jukumu la kuchagua viongozi au jukumu la kujua ni kiongozi gani anahitajika linabaki kwa wapiga kura.Suala pia si la kijana tu,kijana mwenye uwezo ili tusijetukaburuzwa na ride ya ujana au jinsia tu kama ilivyokuwa 2005,people voted for "beauty" not for "Duty",ha ha ha! loh

Ila sasa anaposema msikubali anamaanisha nini?inaonekana sasa yeye atatumia udikteta ndani ya chama chake kukataza mtu asigombee? Kwenye hoja ya ujana hajakosea,ni wazo zuri

It will be unfair to deny /ask somebody not to contest and will be infringing on his constitutional right. It is a right given to him by the Constitution which he has a sole discretion to exercise.
Tanzanians at this stage should be talking of credible elections and free participation. Credible people should be allowed to participate in the election

Again,It would be unfair for anyone to ask anymember of a political party not to run for presidency on the basis of an unconstitutional arrangement by a political party.


Naam Kijana Benard, mimi grayson Nyakarungu, Washa taa mchana, nitaomba nafasi hiyo ndani ya chama changu, ikiwa katiba itakuwa imebadilishwa au imerekebishwa, nimemwelewa jk anachomaanisha, ikiwa hana unafiki kwa anaopigana nao..lila na fila, basi hii itakuwa fursa nzuri kwa vijana wenye uwezo kuonyesha uwezo katika kutoa mwongozo na dira kwa taifa....naisubiri hatua hii sana.
Najua vijana wengi wa tanzania kwa sasa wamejengeka kwa mfumo wa uwezo wa kukosoa na hawana uwezo wa kutoa njia mbadala, hawawezi kuonyesha dir, kiwango chao kikubwa ni kuonyesha makosa tu....aina hii ya viongozi ndio wanaolifikisha taifa hapa tulipo,
Tunataka kiongozi mwenye uono mkubwa kwa taifa mwenye uwezo wa kueleza wapi anataka taifa hili lielekee na sio kutaja makosa tu ya waliopita na sio mwenye vocal cord nene tu bali zenye mguso wenye mafanikio.

Kama kweli jk anataka nchi iongozwe na kijana basi aharakishe mchakato wa katiba ila uwe wa haki na wa usawa.
 
Kama ni mambo ya makundi na mambo ya zamu zamu mi naona bora rais ajaye we albino au Mkulima hasa. Hao wanaweza kuwa na machungu na nchi na shida wanazopata watu mtaani.

Wanasiasa wametupelekesha mpaka tunasahu kutazama core value za viongozi. Tunabakia kutazama dini ,makabila vyeti na sasa mkuu wa nchi anasema umri.
 
mimi (50) ni kijana pia tafadhali muda ukifika msinisahau. Uwezo,uadilifu, uzalendo, etc ndiyo vigezo tusije tukauvaa tena mkenge wa 2005 tulipomchagua kijana (55) kumbe mweupe.
 
Kama mtu anaweza kuwa na sifa za kugombea urais ni vema kwani nadhani nimefuatilia kwa makini vyama vya siasa vingi sana nimegundua ya kuwa katika chama kilicho na bahati kubwa kuwa na watu safi ni chadema . kwani wameweza kuwa na hazina kubwa ya vijana na wazee safi. nadhani zitto ni mmoja wa vijana safi wanaoweza kuendeleza chama ila asije akalewa sifa , kuna vijana kama Mnyika ,lema , n.k pia watakuja kuwa wanasiasa safi na hii ni moja ya dhana muhimu kwa chama cha upinzani kwani chama tawala kinashindwa kimkabe nani kimuache nani.

Kama ningekuwa mimi ni mtunga katiba basi ningebadilisha mfumo wa mgombea mwenza kutoka visiwani na ningeacha huru mtu yeyeto anaweza kuchaguliwa nafasi ya makamo wa rais , ili mwaka 2015 basi chadema wawasimamishe Dr. slaa na Zitto awe makamu wa rais najua moja kwa moja watachukua urais na baada ya miaka 5 yani 2020 basi ZITTO atakuwa tayari kuwa rais kamili wa taifa.

Ni wakati wa mabadiliko kwani vyama tawala vinanyanyasa wananchi
 
Hakuna mtu anyejua mgombea urais wa chadema 2015.Sasa kuna watu wanakuja hapa tu kushambulia watu.Tafadhali naomba tuwe makini,tuwe wachambuzi tuepuke ushabiki katika michango yetu.Kwenye suala linalohusu taifa letu,tuangalie uwezo wa watu.

Kwa sasa hivi Chadema inaangalia jinsi ya kujenga chama na kuimarisha harakati zake kuchukua Dola.Kuhusu ni nani atakayekuwa mgombea,it's to early to speculate.Tusiingie mtegoni kiasi hiki.

Kitu cha ajabu ni kwamba wale wale waliokuwa wanadai chadema ni ya wachagga,leo hii wanasema Saanane yuko mtandao wa huyu mara yule bila kujali kabila au dini.duh...watu wanakuwa ma-genius kweli kweli linapokuja suala la maslahi yao.Ila nimegundua kitu kimoja,hatupendi ukweli,watanzania hatutaki uwazi na ndiyo maana tunaogopa kuchukua maamuzi magumu au kufanya yale yanayoonekana kwamba hayawezekani.

Natoa Rai kwa vijana,hasa wasomi ambao naamini kabisa ni wachambuzi na si mashabiki kuwa tujaribu kutafakari kila jambo tunaloambiwa,siasa yetu Tanzania imekuwa ni ya kishabiki,kuchafuana,kujipendekeza nk. Sasa tuwe makini kwa hilo kabla hatujafanya judgement.Vijana tuunganishe nguvu tulikomboe taifa letu,miaka 50 iliyopita bado serikali yetu imeshindwa kuweka mikakati ya kuwasaidia vijana.Leo hii ninapoandika hapa nafuatilia Bunge,Mambo yanayoendelea hapa yanasikitisha, yanatia hasira,yanaleta uchungu kwa kile kinachoendelea .........sijui tunaelekea wapi kama taifa.Hebu tuache ushabiki,tupate fursa ya kutafakari na kuwa na judgement ambayo haijawa influenced na watu wengine kwa maslahi yao na kwa gharama za wengine

Muda ukifika utasema labda usigombee ubunge kupitia chadema.Nendeni NCCR au CCM kwenye watukutu huku kuna waadilifu na wasikilizaji.tuna watu wengi watatuunga mkono.Akina slaa na mbowe wamefanya kazi kubwa wakati nyinyi mkiwa mnakula raha India/uingereza,zitto Ujerumani na Kitila mkumbo Uingereza.ningekuwa wewe ningemfuata kafulila mapema NCCR.utanikumbuka na utajutia kutumia uwezo wako wa kushawishi na taaluma yako vibaya
 
Kikwete ametambua kuwa "legacy" yake ni aibu, aibu, aibu. Angependa Rais atakayekuja awe "disasterous" kuliko yeye ili Wadanganyika waseme BORA Kikwete. Can you imagine a better recipe for a coup detat than another Rostam funded President? God forbid!

asiwe na hofu atapata wafuasi ndani ya upinzani,Zitto na kundi lake
 
Muda ukifika utasema labda usigombee ubunge kupitia chadema.Nendeni NCCR au CCM kwenye watukutu huku kuna waadilifu na wasikilizaji.tuna watu wengi watatuunga mkono.Akina slaa na mbowe wamefanya kazi kubwa wakati nyinyi mkiwa mnakula raha India/uingereza,zitto Ujerumani na Kitila mkumbo Uingereza.ningekuwa wewe ningemfuata kafulila mapema NCCR.utanikumbuka na utajutia kutumia uwezo wako wa kushawishi na taaluma yako vibaya
Kha!!....whats going on?
 
Kikwete ana haki kuwa na maoni. Lakini hana haki ya kutuchagulia rais, au kutujengea hoja ya namna ya kumpata. Hajafanikiwa kututeulia mawaziri wachapakazi kwa miaka sita. Hivyo, hawezi kuaminika katika kutuchagulia rais. Na tukichunguza kwa undani mantiki halisi ya spinning hii ya JK na mashabiki wake, tunajua kauli yake inatokana na woga anaoujua yeye. Vinginevyo, asingetanguliza hoja ya umri. Wakati wananchi wanajadili uwezo wa kiongozi, wenzetu wanajadili umri!
 
Sina imani na jk, sina imani na chochote anacho kisema, kwan hata hayo mazuri yake naamini kayafanya kwa bahati mbaya, katuumiza mno na ccm yake! Namchukia!
 
Muda ukifika utasema labda usigombee ubunge kupitia chadema.Nendeni NCCR au CCM kwenye watukutu huku kuna waadilifu na wasikilizaji.tuna watu wengi watatuunga mkono.Akina slaa na mbowe wamefanya kazi kubwa wakati nyinyi mkiwa mnakula raha India/uingereza,zitto Ujerumani na Kitila mkumbo Uingereza.ningekuwa wewe ningemfuata kafulila mapema NCCR.utanikumbuka na utajutia kutumia uwezo wako wa kushawishi na taaluma yako vibaya
Kuna kitu kimejificha hapa Miss Parliament bila shaka. Kama assumptions zangu ziko sahihi basi kuna kazi kubwa sana ndani ya Chadema. Sisi wengine hatujawahi kuwa mashabiki wa watu na makundi katika vyama ila sera, falsafa, dhamira na nia ya kweli ya Chama husika katika kuwakomboa wananchi. Tusaidie kufika tunakotaka jamani vinginevyo.......... Just thinking loudly
 
Muda ukifika utasema labda usigombee ubunge kupitia chadema.Nendeni NCCR au CCM kwenye watukutu huku kuna waadilifu na wasikilizaji.tuna watu wengi watatuunga mkono.Akina slaa na mbowe wamefanya kazi kubwa wakati nyinyi mkiwa mnakula raha India/uingereza,zitto Ujerumani na Kitila mkumbo Uingereza.ningekuwa wewe ningemfuata kafulila mapema NCCR.utanikumbuka na utajutia kutumia uwezo wako wa kushawishi na taaluma yako vibaya

Siiogopi vitisho! Afterall unatumia ID ya kujificha,uko gizani nipo kwenye light (natumia my real ID).......Hata mimi nina uwezo wa kusema,ila hapa sio sehemu sahihi.I can spit!

Pia nikukumbushe,sijawahi kuwa nje ya nchi nikiwa nakula raha,nimekuwa nje ya Nchi nikiwa nasoma au kwenye harakati........kuhusu wengine siwezi kuwasemea!

I find myself questioning why someone would choose to use this forum for this kind of slanderous, malicious, heartless and spiteful conversation. With the dawn of the internet we have now have the ability to say and post what and when we want to. The problem is, once the send button has been hit, the words cannot be taken back. I find it sinful that this conversation is taking place and sad that the second person involved with you Zitto/Kitila is not able to reply to what you have accused him of doing (not just with you but with the "alleged" ant-party conspiracy).

I am by no means an expert on the topic but it appears to me that you have digressed to a mud slinging contest which includes threatening (or so it seems!).
Miss Parliament, if your story has/had any credibility to it, you have destroyed that by the ongoing nonsense you continue on with. If?
huh.gif
?? you have been wronged there are channels that can be followed prior to resorting to this kind of , (I don't even know what to call it!).

Miss Parliament: You need to stop this discussion before it lands you in LEGAL hot water (threats don't go over well with ....). You are apparently known from past situations so you need to back this off. Secondly, you really need to have a hard look within yourself and figure out exactly where you are in your Political journey because what I am reading would never and should never come out of the mouth of a practicing Democratic Politician

Wana Jamii Forums,with a due respect naomba watu wa aina hii muwapuuze tu kwa utengamano,maslahi ya taifa letu na future ya vijana wazalendo wa taifa letu.

CHADEMA ni moja,tumaini jipya kwa watanzania.Rais ajaye naamini kabisa ni lazima atatoka ndani ya chama chetu sasa tuuungane pamoja kujenga chama,tuunganishe chama tusiogope kukosoana kwani sisi ni tofauti na CCM.Tukuze demokrasia ili tukiingia madarakani watanzania watanzania wapate kitu ambacho hawajahi kukipata miaka hamsini iliyopita tangu tupate uhuru

Kauli mbiu ya sherehe za uhuru kwamba Tumeweza,tusonge mbele ni upofu na kubweteka kwa gharama ya baadae ya watanzania badala yake tulistahili angalao kuwa na hii Tumejaribu kiasi,tujisahihishe,tusonge mbele kwa ujasiri mkuu.Tuachane na kauli mbiu za kubweteka,tusiwaandae vijana kubweteka,kama wazee walikosea au kuzembea wasijihalalishie kwa kauli mbiu.Naamini CHADEMA hapa tunahitaji kuonyesha uwezo na dhamira yetu ya dhati kukitumikia kizazi hiki na cha baadae kwa kukiongoza katika ngwe ya pili baada ya miaka 50 katika ukombozi wa pili wa taifa letu.Tuungane pamoja 2015 hakuna wa kutuzuia! ! !
 
Back
Top Bottom