TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,513
- 11,276
Rais Jakaya Kikwete alikuwa miongoni mwa watu waliobahatika kupata picha ya kumbukumbu na Mcheza Filamu wa Marekani Steven Seagal wakati watafrija iliyoandaliwa na Madaktari wa Kimarekani kwaajili ya Afrika mjini Los Angels. Seagal pia ni mwandishi wa miziki na Mtengenezaji wa filamu.