mpayukaji
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 940
- 349
Waziri mkuu Mizengwe Pinda ndiye aliyeanza kuwaaasa watanzania kutochagua watu wanaotafuta uongozi kwa kumwaga pesa. Aliyasema haya akiwa kwa wanyalukolo. JK naye baada ya kutua Mwanza kuadhimisha miaka 35 ya ukandamizaji alirejea usemi huo huo. Je wameambizana au wameamua kuendeleza sanaa? Kwanini kuliona hili baada ya wenye pesa kupeta na kuukwaa ulaji akiwamo Njaa Kaya mwenyewe?