Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Rais (simtambui) wa Tz: Luteni Kanali Jakaya Mrisho Kikwete
Katibu wa CCM(Uenezi): Kapteni John Chiligati
Katibu wa CCM: Luteni Yusuph Makamba
Wakuu wa Mikoa na Wilaya (Wengi wao): Maluteni
Mmiliki (feki) wa Dowans: Brigedia Mstaafu Al Adawi.
Lengo ni kutisha WaTz?
Katibu wa CCM(Uenezi): Kapteni John Chiligati
Katibu wa CCM: Luteni Yusuph Makamba
Wakuu wa Mikoa na Wilaya (Wengi wao): Maluteni
Mmiliki (feki) wa Dowans: Brigedia Mstaafu Al Adawi.
Lengo ni kutisha WaTz?