Mbowe kasaliti chama chetu.Wapenzi na wadau wa chadema tumuundieni TUME huyu mtu
Jamani kuna nini huko,mbona nimepata hizi tetesi kwa watu wazito au si kweli maana Tz kwa majungu HATARItunaomba wenye data mtupe na sisi habari..
Lkn napata wasi wasi Mwenyekiti wa CCM na Mwenyekiti wa Chadema kukutana siri mara kwa mara,hizi siri mimi ndio naziogopa,chupu chupu niachane na Cuf na siasa kabisa, wakati Maalim seif na Nyerere walipokutana na halafu akakutana na salmin...
TUJUZENI WENYE TAARIFA
Nahisi JK atakuwa anamuomba radhi kwa niaba ya CCM juu ya hotuba ya Mukama jana pale karimjee.
Ila pia kutengeneza mazingira ili Mbowe aje mkumbuka JK kwenye ufalme wake
Mbowe kasaliti chama chetu.Wapenzi na wadau wa chadema tumuundieni TUME huyu mtu
mbowe hata haaminiki yule
mbowe hata haaminiki yule
Mbowe kasaliti chama chetu.Wapenzi na wadau wa chadema tumuundieni TUME huyu mtu
Mkuu mbona unapandikiza chuki kwa waumini wa dini hizi wanaoishi kwa amani utulivu na kuvumiliana? Mimi nilisoma na Wagala kibao darasani na tulishirikiana vyema katika masomo.