Kikwete na mawaziri kadhaa kuzuru Muscat Jumatatu 15, Oktoba 2012

Au ndio maandalizi ya OIC? Ndugu zetu wanadai katiba mpya itambue OIC!! Elimu dunia muhimu.
Hilo pia linawezekana! Unajua usongo huo upo sana kichinichini, lakini haitakuwa jambo la BUSARA kwani nchi yetu TZ haina DINI ila wananchi wake ndio wenye hiyo dini! Tusikubali kamwe hata kuingizwa ktk katiba mpya, italeta mgongano wa hali ya juu! Watanzania tupendane na kuheshimiana bila kujali dini zetu zisitutenganishe!!!!!!!
 
the two sides will sign an agreement on the "Promotion and Protection of Investment". This, along with the Oman-Tanzania Business Council, will act as a catalyst to unlock the potential of bilateral trade and investment between the two sides, he stressed.

An agreement on "Political Consultation" will also be signed, which will go a long way in bringing the two brotherly countries closer in important fields.

Since Tanzania has recently discovered several wells of oil and gas, the two sides can establish linkages in this field for mutual benefits.

Oman can also fruitfully invest in a big way in Tanzania's fast growing infrastructure, roads, bridges, hotels, resorts, as well as in the transport and shipping sector.
.
In 2010-11, Omanis began staging marches and demonstrations to demand economic benefits, an end to corruption, and greater political rights. In February and March 2011, in response to protester demands, QABOOS pledged to create more government jobs and promised to implement economic and political reforms, such as granting legislative and regulatory powers to the Council of Oman and the introduction of unemployment benefits.

Also in March, the Gulf Cooperation Council pledged $20 billion in financial aid to Oman and Bahrain over a 10-year period to assist the two nations in their struggle with Arab protests. Amid concessions made to oppositionists, the government during the summer continued to crack down on protests and demonstrations, and increasingly clamped down on the media.


Politics: Political parties are illegal
GDP: $71.89 billion (2011). (Tanzania GDP $23billion)
Source: https://www.cia.gov/library/publications/the-world-factbook/geos/mu.html

My take:
Tuwe careful na hii mikataba tunayo-sign ya ku-protect investment za nchi zingine. Last week ilikuwa Canada, sasa Oman, mwishowe Tanzania tutakuwa hatuna sauti hata kidogo as a sovereign nation. Ni lini au ni chombo gani kimekaa chini na kujirisha na hiyo mikataba? Inawezekana ina faida, lakini wananchi wana haki ya kujua kama kweli ina faida.

Kuna haja kabisa kwa bungeni kuangalia hili. Na sijui ni kwanini bunge lisihusishwe na mikataba muhimu kama hii? Inagusa moja kwa moja na uhuru wa nchi. Kuna uzi mwingine unasema kuwa Tanzanite one wamekataa kutoa shares 50% kwa serikali ya Tanzania kama sheria mpya ya madini inayoelekeza. Wawekezaji wanaonekana kuwa na sauti hata kwa mambo ambayo ni ya kinyonyaji waziwazi! How can we be sure hii mikataba ya sasa haitupeleki huko? Kuna mechanisms gani za kulinda Tanzania against any potential compromise toka kwa hao wawekezaji?


 
Sijui safari inalenga kitu gani, labda yule bwana wa DOWANS aliyekuja kimya kimya. Hata hivyo ninachofahamu, Muscat ni wachunga mbuzi kama sisi. Anyway...

Unachofahamu Mkuu, lakini sivyo ilivyo. Huwezi kufananisha Oman na Tanzania hata kidogo, sawa na mbingu na ardhi. Si kiuchumi wala kimaendeleo.
 
alikwenda kuwapongeza akina ponda kwa kuangamiza makanisa. WITO WANGU WAKRISTO TUANDAMANE KUSHINIKIZA KIKWETE AONDOKE MADARAKANI.amevunja katiba ya JMT kwa kulea vikundi vya wahalifu na ugaidi nchini. kamwe haiingii akilini makanisa zaidi ya 24 yachomwe moto nchi nzima halafu kusiwepo na kesi hata moja mahakamani.anawalea! anawalea! WAKRISTU TUUNGANE TUSIKUBALI TENA KUCHAGUA RAIS MWISLAMU.

Acha ubaguzi wa kidini.
 
Kweli ritz oman wapo level nyingine kabisa wametuacha mbali sana,wana miaka 41 ya uhuru lakini hatua ya maendeleo waliyopiga kwa sisi tunahitaji miaka 50 kuwafikia hapa walipo, na sasa wanajenga air port ambayo itakuwa ni ya pili ya middle east baada ya dubai' wamejenga bandari kubwa sana ambayo kwa sasa ndio kubwa kuliko zote kwa nchi za Gulf ambayo inafanya mpaka service za meli za kimataifa'

Uzuri wa nchi yao siasa imewekwa pembeni huwezi kusikia watu wanapiga siasa mitaani! Wala huwezi kusikia mfalme kaenda kuzindua barabara wala waziri anasimama kweye tv anasema kama wanampango wakujenga kitu laa wao ni vitendo zaidi maneno hakuna

Mkuu saizi Oman wanachimba gesi baada ya Qatar ni wao na wana mafuta kidogo.
 
Unachofahamu Mkuu, lakini sivyo ilivyo. Huwezi kufananisha Oman na Tanzania hata kidogo, sawa na mbingu na ardhi. Si kiuchumi wala kimaendeleo.

Mkuu Globu,
Naona unatoa elimu ya uraia.
 
Last edited by a moderator:
Unachofahamu Mkuu, lakini sivyo ilivyo. Huwezi kufananisha Oman na Tanzania hata kidogo, sawa na mbingu na ardhi. Si kiuchumi wala kimaendeleo.

Oman wamepiga hatua lakini siwezi kusema ni kama mbingu na ardhi kulinganisha na Tanzania.

GDP ya Oman $71bn, Tanzania ni $23bn
 


My take:
Tuwe careful na hii mikataba tunayo-sign ya ku-protect investment za nchi zingine. Last week ilikuwa Canada, sasa Oman, mwishowe Tanzania tutakuwa hatuna sauti hata kidogo as a sovereign nation. Ni lini au ni chombo gani kimekaa chini na kujirisha na hiyo mikataba? Inawezekana ina faida, lakini wananchi wana haki ya kujua kama kweli ina faida.

Kuna haja kabisa kwa bungeni kuangalia hili. Na sijui ni kwanini bunge lisihusishwe na mikataba muhimu kama hii? Inagusa moja kwa moja na uhuru wa nchi. Kuna uzi mwingine unasema kuwa Tanzanite one wamekataa kutoa shares 50% kwa serikali ya Tanzania kama sheria mpya ya madini inayoelekeza. Wawekezaji wanaonekana kuwa na sauti hata kwa mambo ambayo ni ya kinyonyaji waziwazi! How can we be sure hii mikataba ya sasa haitupeleki huko? Kuna mechanisms gani za kulinda Tanzania against any potential compromise toka kwa hao wawekezaji?


mkuu hili ni swali muhimu sana.je ni nani aliyeidhinisha haya yanayoenda kutendeka?
tunapoongelea kurudisha madaraka na maamuzi kwa wananchi tunamaanisha nini?
naomba kama kuna mtu ana uelewa zaidi ya kile mheshimiwa rais na jopo lake la mawaziri wanachoenda kusign uko arabuni atueleze.
 
Kwenye katiba tuweke max number of visit a president should have in a year pamoja na idadi ya watu wa kwenda nao
 
mkuu hili ni swali muhimu sana.je ni nani aliyeidhinisha haya yanayoenda kutendeka?
tunapoongelea kurudisha madaraka na maamuzi kwa wananchi tunamaanisha nini?
naomba kama kuna mtu ana uelewa zaidi ya kile mheshimiwa rais na jopo lake la mawaziri wanachoenda kusign uko arabuni atueleze.


Tunatakiwa tuwe na 'check list' ya mambo ambayo lazima yalindwe, hivyo mikataba ya ku-protect investment za nchi nyingine yawe measured against hiyo check list yetu. Kwa sasa hatujui ni kitu gani hasa kipo kwenye hiyo mikataba! Ni kwanini wananchi wasishirikwishe kupitia kwa wawakilishi wao yaani bunge ili tuwe kwanza na check list - ya kwetu kama nchi? Ni mambo kama haya yanaleta malalamiko toka kwa wananchi.

Tunaambiwa rais kaalikwa, ofcourse kaalikwa, ma-godfathers wamefanya kazi zao sasa rais amekuwa -summoned, again ku-sign mikataba bila ya wananchi kujua ni kitu gani kinaendelea. Mambo mengine yanaudhi sana.

Na kuna watu wanaandika hapa as if Oman is developed nation! Oman bado kwenye programme za misaada kama sisi toka Magharib.
 
Tunatakiwa tuwe na 'check list' ya mambo ambayo lazima yalindwe, hivyo mikataba ya ku-protect investment za nchi nyingine yawe measured against hiyo check list yetu. Kwa sasa hatujui ni kitu gani hasa kipo kwenye hiyo mikataba! Ni kwanini wananchi wasishirikwishe kupitia kwa wawakilishi wao yaani bunge ili tuwe kwanza na check list - ya kwetu kama nchi? Ni mambo kama haya yanaleta malalamiko toka kwa wananchi.

Tunaambiwa rais kaalikwa, ofcourse kaalikwa, ma-godfathers wamefanya kazi zao sasa rais amekuwa -summoned, again ku-sign mikataba bila ya wananchi kujua ni kitu gani kinaendelea. Mambo mengine yanaudhi sana.

Na kuna watu wanaandika hapa as if Oman is developed nation! Oman bado kwenye programme za misaada kama sisi toka Magharib.

Acha umbeya wewe ikulu imetoa taarifa kama anakwenda kusaini mikataba?au unatulazimisha tuamini mawazo yako?
Halafu oman haiombi msaada toka nchi yeyote duniani inajitegemea kwa 100% ombaomba ni sisi
 
Oman wamepiga hatua lakini siwezi kusema ni kama mbingu na ardhi kulinganisha na Tanzania.

GDP ya Oman $71bn, Tanzania ni $23bn

Hivyo Mkuu FJM unaona ni tofauti ndogo hiyo? Hata nusu kwa nusu haifiki. Je unajua population ya Oman? ukilinganisha na TZ ni tofauti kubwa mno.
 
Last edited by a moderator:
Acha umbeya wewe ikulu imetoa taarifa kama anakwenda kusaini mikataba?au unatulazimisha tuamini mawazo yako?
Halafu oman haiombi msaada toka nchi yeyote duniani inajitegemea kwa 100% ombaomba ni sisi

mkuu soma thread kwa uangalifu mkuu,acha kupanic na kuingiza ushabiki.
 
Acha umbeya wewe ikulu imetoa taarifa kama anakwenda kusaini mikataba?au unatulazimisha tuamini mawazo yako?
Halafu oman haiombi msaada toka nchi yeyote duniani inajitegemea kwa 100% ombaomba ni sisi

Haina shaka ndani yake, uko On the line.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom