Z Zhu Senior Member Sep 26, 2010 184 24 Mar 7, 2011 #1 Licha ya kuwa heading ya kiingereza imefutwa lakini ni vizuri tuone hawa wamiliki wa vyama kama wakijitoa itakuwaje.
Licha ya kuwa heading ya kiingereza imefutwa lakini ni vizuri tuone hawa wamiliki wa vyama kama wakijitoa itakuwaje.
PakaJimmy JF-Expert Member Apr 29, 2009 16,203 8,723 Mar 7, 2011 #2 Mambo ya ...Sungura akasema! ...Nyani akalima shamba! TEMBO akaenda kupeleka mahari kwa mbweha!
Saeedgenius Member Mar 6, 2011 48 10 Mar 7, 2011 #3 Zhu said: Licha ya kuwa heading ya kiingereza imefutwa lakini ni vizuri tuone hawa wamiliki wa vyama kama wakijitoa itakuwaje. Click to expand... Did U mean, Kikwete, Makamba, Slaa na Mbowe wakijiuzulu? kwani kabla yao hivyo vyama havikuwepo?
Zhu said: Licha ya kuwa heading ya kiingereza imefutwa lakini ni vizuri tuone hawa wamiliki wa vyama kama wakijitoa itakuwaje. Click to expand... Did U mean, Kikwete, Makamba, Slaa na Mbowe wakijiuzulu? kwani kabla yao hivyo vyama havikuwepo?
P PakavuNateleza JF-Expert Member Sep 9, 2009 1,104 1,294 Mar 7, 2011 #4 Kama mtu huna burning issue sio lazima uanzishe thread.Mod please ondoa huu upupu
pmwasyoke JF-Expert Member May 27, 2010 4,590 2,976 Mar 7, 2011 #5 Taasisi yoyote yenye uendelevu haimtegemei mtu moja - yaani fulani akiondoka iwe ndio mwisho.
M Marytina JF-Expert Member Jan 20, 2011 9,281 7,126 Mar 7, 2011 #6 Chadema jina litafifia ila hisia na itikadi za uchadema (ukombozi) hazitakufa daima , ccm jina litapaa kwani JK+makamba ndio vikwazo namba mmoja. ila hii sred imekonda jaribu kuiongezea nyama inoge
Chadema jina litafifia ila hisia na itikadi za uchadema (ukombozi) hazitakufa daima , ccm jina litapaa kwani JK+makamba ndio vikwazo namba mmoja. ila hii sred imekonda jaribu kuiongezea nyama inoge