Kiburi na majigambo havijawasaidia,wadau waliwaonya sana masikio pamba waliyatia wakawatuhumu wapinzani sasa wao na jeshi lao ndio wanapalilia vita.wana jf tujadili hili je ccm inafia mikononi mwa kikwete?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.