Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Mwaka 2005 alipata 84%. Zimekwenda wapi hizo zingine? Lakini nakubali atashinda bcoz ours is a unique country -- sheep for humans!
Zak, kwanza sikukupata, lakini nilipokupata nilivunjika mbavu! Yes we have a population of sheep instead of human beings. And that is what CCM (and JK for that matter) depends to rule perpetually. Once the situation changes (and it CAN change abruptly why not?) then the mafioso will find it hard even to see the exit door! IKO SIKU! IKO SIKU!