POSHO MAVYEO
JF-Expert Member
- Jun 28, 2011
- 371
- 112
Suti kubwa, unaweza kuta anapiga mzinga hapo
Suti kubwa, unaweza kuta anapiga mzinga hapo
Marais wenzie anawavali kaunda suti la system, bill gates ndio anataka kumuuzia sura apewe vyandarua na kimradi cha kuchimba visima. Cha zaidi nini Kikwete ata negotiate hapo? Hilo libendera la kushoto la nchi gani wajameni, Microsoft?Suti kubwa, unaweza kuta anapiga mzinga hapo
teh teh teh teh............Hapo hakuna lolote zaidi ya mizinga
President Jakaya Kikwete (right) meets with the co-chair of the Bill and Melinda Gates Foundation, Bill Gates, at State House in Dar es Salaam Wednesday. PHOTO | STATE HOUSE |
Suti kubwa, unaweza kuta anapiga mzinga hapo
Hivi kwanini Gates kaweka hilo folder chini?!
Au walikuwa wanauziana mradi wa kigamboni?
mbuga ya serengetinchi isha uzwa hii