wakati wa kampeni za Uraisi na Ubunge Kikwete pamoja na kuonywa na ana kilango alitoa ahadi ya kuijenga kwa lami barabara ya mkomazi-ndungu-gonja-same. mpaka dakika hii hakuna hata gari la kifusi lililoonekana katika barabara hiyo.
wananchi wa same-mashariki ni bora wakabahatisha kwa mgombea mwingine wa uraisi lakini siyo huyu Kikwete. tatizo linakuja pale mbunge wa same-mashariki, pamoja na mumewe mzee malecela, wanapoendelea kumpigia kampeni Kikwete achaguliwe vipindi viwili.
KIKWETE AMETULAGHAI SAME-MASHARIKI NA TUNAMSIHI MBUNGE WETU ANA KILANGO MALECELA ASIMUUNGE MKONO MWAKA 2010.
wananchi wa same-mashariki ni bora wakabahatisha kwa mgombea mwingine wa uraisi lakini siyo huyu Kikwete. tatizo linakuja pale mbunge wa same-mashariki, pamoja na mumewe mzee malecela, wanapoendelea kumpigia kampeni Kikwete achaguliwe vipindi viwili.
KIKWETE AMETULAGHAI SAME-MASHARIKI NA TUNAMSIHI MBUNGE WETU ANA KILANGO MALECELA ASIMUUNGE MKONO MWAKA 2010.