wiseboy
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 2,931
- 3,299
Sure hata mm nawaza hivi sasa hivi riz anaishije? Maana kiila kitu tuliambiwa cha riz 1..anzia masheli..magari ya mafuta...mahotel...nkHakuna mzazi anekuwa na furaha mwanae anapo huzunika, tangu mirija ya kina Riz moko imekatwa familia nzima imekuwa kama imepata ugonjwa wa kupooza, yule doo aliekuwa anatoa kashfa kwa vyama vya upinzani sasa hivi kazama kabisa hajitokezi hata kumpa pongezi Magufuli kwa kazi ILIYOTUKUKA ya kuwapoteza waliokuwa wanaishi kama malaika. Lazima baba awe mnyonge tu.