Kitila Mkumbo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2006
- 3,354
- 1,943
Nami napinga mtazamo kuwa mwenye good academic CV anaweza kuwa kiongozi wa kisiasa? Mnamkumbuka Tutemeke Sanga? Je mnaikumbuka CV yake? Je mnaijua CV ya makamu wa rais Mh. Shein? inaenda na anacho deliver? Na Je, huyo Mahiga, mnajua perfomance yake huko, na watu aliyo waongoza katika nafasi mbalimbali mpaka sasa wanamzungumziaje? Je, ni Mahiga pekee (kwa TZ yote), ndio anafaa zaidi kumpisha Membe? - Je, ulisha pata CV yake ya mtaani kuhusu issue za kifisadi na kujilimbikizia mali?
''DON'T JUDGE A BOOK BY LOOKING AT ITS COVER''
Kwa hiyo unashauri nini hapa? Tuwape uongozi makada tu siyo au?