Kikwete mrudishe ROM asaidie kuokoa jahazi Zanzibar

Subiri bhan lizame zame kidogo ndio wajaribu kulikoa, raha ya jali kuwe na majeruhi
 
Wengine tunaofikiria mbali zaidi ya hapa tulipo tunaona hilo ni jambo jema. Ingekuwa vema kama tungeamua kutatua matatizo yaliyopo ili muungano uweze kuwa imara. Sasa Zenj hawataki na wamekuwa kero kubwa itakuwaje? Let them go....

Jambo la msingi ni kutatua kasoro zilizopo
ndani ya muungano,ili kuliweka katika msingi
bora wa sheria na uhalali wake.
Kero hizi zilikuwepo tangu uanzishwaji wake na
watu wengi wa zanzibar wamechukua kama ajenda
ya kuthubutu kuuvunja muungano.Nawahakikishia m
wazanzibari wote pamoja na UAMSHO kuwa MUUNGANO
Utadumu milele na wao wataondoka zao waende wanakotaka
kwenye kuishi,kama hawaamini basi wasubiri tume ya katiba imalize kazi yake.
PERIOD.
 
Suluhu ni serikali 1 au tatu. Haya yanayoendelea ni matatizo ya mfumo wa muungano. Kama Zanzibar ikiwa mkoa hakutakuwa na shida hizi. Tatizo la itikadi za dini ndio limetufikisha hapa.
 
Asaidie kuokoa jahazi kwani linazama? Kama linazama acha lizame tu. Who cares?

Tulio wengi ndio tutakwama,
walio wachache watafurahia muungano kuvunjika
amini usiamini kuna watu hata humu ndani ya JF
Wanashadadia sana muungano kuvunjika
nasikitika sana kwa wote wanaoshabikia
kuuvunja muungano,hawajui watendalo.

Nawaomba tutumie jukwaa hili kuwashawishi viongozi waliko madarakani
kuhakikisha wanarekebisha kasoro za muungano ili uwe imara zaidi
na si kuubomoa kabisa.Kalamu ni risasi,ukiitumia vizuri kwenye karakatisi
itaweza kabisa kuuvuruga muungano na mwisho wa siku utavunjika.
Hasara ni nyingi zaidi ya faida...
 
Hatuwezi kuwaacha wazanzibar waende zao bure,kamwe haliwezekani hili
kama kuna mambo ya kutisha na ya hatari kutokea hapa Jamhuri ya muungano
wa Tanzania ,TANGANYIKA NA ZANZIBAR(UNGUJA NA PEMBA) basi ni hili la kuwaacha
wazanzibar waende zao.
Sintakubali hata kwa neno moja kukubali kutengana na zanzibar.Ni dhambi kubwa sana.tunaongea kwa
kwa maneno rahisi sana lakini hatujui implications zake,hatujui effects zake,hatujui nini kitatokea baada ya
mfarakano huu.Hakuna anayejua nini kitatokea,

Wa-Tanzania tuungane kwa nguvu zote kuhakikisha MUUNGANO unadumu milele daima na kizazi chetu kinaukuta.
Mungu ibariki Tanzania,
Mungu ibariki Africa
Mungu Bariki Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

Wewe acha maneno ya uoga wewe!!! Dhambi gani tutakayoipata kwa kutengana na Zanzibar? Ina maana kabla ya mwaka 1964 kuungana na Zanzibar tulikuwa tunatenda dhambi? Na hiyo dhambi ilianza lini, tangu kuumbwa Tanganyika? Basi kama tangu kuumbwa Tanganyika tulikuwa tunatenda dhambi, je dhambi ipi ni kubwa, ya miaka 48 au Tangu kuumbwa dunia?
Na mbona Uganda tulipigana nao vita je kuna dhambi tuliipata? Dubai hakuna Muungano mbona Watanganyika na Wanzanzibari wako huko? Umeshawahi kusikia Watanganyika na Wazanzibari wamepigana Dubai? Think big!!!
 
Akina UAMSHO wanaona CCM bara imewasaliti kwa SMZ kuongozwa na WAPEMBA akina HIZBU/ZNP/ZPPP. Mapinduzi Daima hayapo tena kwa staili hii ya SUK. Dr Ali Mohamed Shein naye ni DHAIFU kuliko Kikwete. Suala hapa ni Makamu wa Rais, MGB, arudi Zanzibar na Dr Shein arudi alikokuwa.
 
MM

usiwe na hofu, muungano hauwezi vunjika na jahazi litaelea muda mrefu tuu mpaka pale atakapoamua Muumba.
Muungano hauwezi vunjika kwa sababu hatujawahi kuungana, siku zote sisi tulikuwa na ni wamoja.
Ile changanya udongo ilikuwa ni kufukuza mapepo tuu.

Hawa wanaopiga kelele za utengano kwa sasa ni sawa na "upepo tuu; utapita".
Mbona tumeshawazoea ?

Respect!
 
a1.gif
H.E. Mr. Omar Ramadhan Mapuri
Ambassador Extraordinary and Plenipotentiary

CURRICULUM VITAE FOR THE AMBASSADOR
Name: Omar Ramadhan Mapuri
Born: 10th January, 1950, Kahama, Tanzania.
Sex : Male
Marital Status: Married with 6 children.

Education:: - B. Sc. (Education), University of Dar es Salaam

  1. M. A. (Education), University of Chicago, USA
  2. Education Planning, IIEP, Paris
Public Service : - Primary School Teacher, 1970.
- Secondary School Teacher, 1971.

  1. Teacher Training Tutor, 1975 – 78.
  2. Chief Planning Officer, Ministry of Education, Zanzibar, 1978 – 81.
  3. Director of Administration and Planning, Ministry of Education, Zanzibar, 1981 – 84.
  4. Private Secretary to the President of Zanzibar, 1984 – 85.
  5. Minister of Education, Zanzibar, 1985 – 1989; 1990 – 2000.
  6. Minister of State in the Chief Minister's Officer, Zanzibar, 1989 – 90.
  7. Deputy Chief Minister, Zanzibar, 1995 – 2000.
  8. Minister of State in the Prime Minister's Office, United Republic of Tanzania, 2000 – 2003.
  9. Minister of Home Affairs, United Republic of Tanzania, 2003 – 2005.
  10. Ambassador to the People's Republic of China, 2006- present.
Publication : - "ZANZIBAR – the 1964 Revolution: Prospects and Achievements".
- Various articles in Journals and newspapers in Tanzania.
Hobbies : - Gardening; appreciating music.
 
Zanzibar kama inavyojiita kuwa ni nchi ni aibu kuendeshwa kwa kutegemea ufanisi wa mtu mmoja. Kumbuka viongozi wa dini ndo wenye sauti kuliko wa serikali kule Zanzibar na mapuri si kiongozi wa dini. Naamini leo hii kama asingekuwepo Seif Sharif Hamad,ungeomba arudi kuokoa jahazi kama suala ni ushawishi. Tatizo Zanzibar kama nilivyokwambia wenye ushawishi ni viongozi wa dini ambao wengi wao nikiwaangalia sisiti kuhoji uzalendo wao na kama kweli wana nia njema na Zanzibar. Lakini pia elimu yao inanipa mashaka,maana mtu hupata elimu imsaidie kutatua matatizo na sio kuyaongeza.

uzalendo wao unakutia wasi wasi wa nini? kwa sababu ya rangi zao? trust me, jumuiya ya uamsho imekuwepo zanzibar kwa zaidi ya miaka kumi sasa, wengi wenu wala hamkuwahi kuisikia kabla ya hapo, umejiuliza kwa nini ikawa maarufu sasa? kama vile imeibuka juzi tu? tena viongozi wake ni wale wale unaowaona leo hii. ni kwa sababu dai wanalolidai ndio linalotuwakilisha wazanzibari tulio wengi. nalo ni "SOVEREIGN ZANZIBAR" .

usiingie wasi wasi na rangi za hao viongozi wetu, zanzibar ni cosmopolitan country, tupo wa asili na rangi tofauti, lakini lugha, utamaduni na mengine mengi yetu ni mamoja. miaka 15 ilopita tu hapa ilikuwa tabu kututofautisha hata kwa dini zetu"
 
a1.gif
H.E. Mr. Omar Ramadhan Mapuri
Ambassador Extraordinary and Plenipotentiary

CURRICULUM VITAE FOR THE AMBASSADOR
Name: Omar Ramadhan Mapuri
Born: 10th January, 1950, Kahama, Tanzania.
Sex : Male
Marital Status: Married with 6 children.

Education:: - B. Sc. (Education), University of Dar es Salaam

  1. M. A. (Education), University of Chicago, USA
  2. Education Planning, IIEP, Paris
Public Service : - Primary School Teacher, 1970.
- Secondary School Teacher, 1971.

  1. Teacher Training Tutor, 1975 – 78.
  2. Chief Planning Officer, Ministry of Education, Zanzibar, 1978 – 81.
  3. Director of Administration and Planning, Ministry of Education, Zanzibar, 1981 – 84.
  4. Private Secretary to the President of Zanzibar, 1984 – 85.
  5. Minister of Education, Zanzibar, 1985 – 1989; 1990 – 2000.
  6. Minister of State in the Chief Minister's Officer, Zanzibar, 1989 – 90.
  7. Deputy Chief Minister, Zanzibar, 1995 – 2000.
  8. Minister of State in the Prime Minister's Office, United Republic of Tanzania, 2000 – 2003.
  9. Minister of Home Affairs, United Republic of Tanzania, 2003 – 2005.
  10. Ambassador to the People's Republic of China, 2006- present.
Publication : - "ZANZIBAR – the 1964 Revolution: Prospects and Achievements".
- Various articles in Journals and newspapers in Tanzania.
Hobbies : - Gardening; appreciating music.

nakumbuka kitabu chake hiki kilichomwa hadharani katika mkutano wa CUF kutokana na upotoshaji wa kihistoria aliouonesha ndani yake, na hata serikali ya wakati ule chini ya Dr Salmin Amour hawajakikubali kitabu kile. hata sijui kama kipo katika archives za zanzibar!
 
Asaidie kuokoa jahazi kwani linazama? Kama linazama acha lizame tu. Who cares?

dogo mbona sikuoni samaki samaki?

unakuja kwenye hili tukio " tumeamua kukutana tarehe 30 June pale Mlimani Primary kukarabati na kupaka rangi baadhi ya madarasa kwa nguvu zetu wenyewe. Tutakua na nyama choma na mziki kidogo huku tunapiga tofali. Karibuni sana kwenye "Giving back to Mlimani" day. Michango ya hali na mali inakaribishwa (rangi, brashi, cement, mabati etc). " - https://www.facebook.com/groups/2446911057/?
 
Hatuwezi kuwaacha wazanzibar waende zao bure,kamwe haliwezekani hili
kama kuna mambo ya kutisha na ya hatari kutokea hapa Jamhuri ya muungano
wa Tanzania ,TANGANYIKA NA ZANZIBAR(UNGUJA NA PEMBA) basi ni hili la kuwaacha
wazanzibar waende zao.
Sintakubali hata kwa neno moja kukubali kutengana na zanzibar.Ni dhambi kubwa sana.tunaongea kwa
kwa maneno rahisi sana lakini hatujui implications zake,hatujui effects zake,hatujui nini kitatokea baada ya
mfarakano huu.Hakuna anayejua nini kitatokea,

Wa-Tanzania tuungane kwa nguvu zote kuhakikisha MUUNGANO unadumu milele daima na kizazi chetu kinaukuta.
Mungu ibariki Tanzania,
Mungu ibariki Africa
Mungu Bariki Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

Usemavyo ni kweli. Kanisa litaathirika sana kama huu muungano utakufa. Muungano huu ni mojawapo ya nguzo muhimu sana za ukatoliki Tanzania ndo maana wapo tayari kufanya lolote kuulinda. Kauli yako si bure na ina ishara nzito zilizojificha nyuma yake. Pamoja na kwamba muungano huu hauna faida zozote za maana kwa raia wa kawaida, Wakatoliki wapo tayari kuulinda kwa nguvu zote.
 
nani anaimiliki zanzibar? wanauhuru wa 1963? au wanamapinduzi wa 1964? ama wanamuungano?
 
nakumbuka kitabu chake hiki kilichomwa hadharani katika mkutano wa CUF kutokana na upotoshaji wa kihistoria aliouonesha ndani yake, na hata serikali ya wakati ule chini ya Dr Salmin Amour hawajakikubali kitabu kile. hata sijui kama kipo katika archives za zanzibar!
Hakiwezi kuwemo hiki kitabu na hawampendi
 
Namzungumzia Ramadhani Omar Mapuri...do u guys still remember him!?

Mkuu MM, kama nimekusoma vema unamaanisha huyo bwana anafaa sana kwa wakati huu ili kuhakikisha jahazi linatokomea kabisa nje ya anga za muungano! Hii ingeisaidia saana Tanganyika hatimaye kupumua na kuwapa Wazanzibari wembe wanaoulilia!
 
Back
Top Bottom