bushman
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,411
- 743
Wana JF kuna jambo nimeligundua kwa mkuu wa kaya ni tofauti na awamu ya kwanza ya uongozi wake.
Toka achaguliwe ziara zake ni dodoma na bagamoyo, mkoa wa Iringa kakanyaga juzi kwenye mazishi ya mama yake spika (gamba).najiuliza kunanini?
Mzee wa kaya hata kushukuru waliokupa ulaji,au ndio tuamini maneno ya cdm kwamba ulichakachua kwa hiyo unaona soni,kukutana na wananchi?Ziara za wizarani ulitakiwa uzihamishie mikoani na wilayani ndiko walipo wananchi walalahoi,
Naomba kuwasilisha.
Toka achaguliwe ziara zake ni dodoma na bagamoyo, mkoa wa Iringa kakanyaga juzi kwenye mazishi ya mama yake spika (gamba).najiuliza kunanini?
Mzee wa kaya hata kushukuru waliokupa ulaji,au ndio tuamini maneno ya cdm kwamba ulichakachua kwa hiyo unaona soni,kukutana na wananchi?Ziara za wizarani ulitakiwa uzihamishie mikoani na wilayani ndiko walipo wananchi walalahoi,
Naomba kuwasilisha.