Bantugbro
JF-Expert Member
- Feb 22, 2009
- 4,476
- 4,250
Lazima Lowassa arudishwe Uwaziri Mkuu.. na mtakoma mliokuwa wapinzani wengine tulishaweka vichwa vyetu kwenye sahani..
Bad timing!! Kama EL alisingiziwa basi aliemsingizia ni Dr. M sasa kama Muungwana akienda Kyela kumnadi Dr. M atawaambia nini wapiga kura?
Kwanini asingesubiri kwanza aende Kyela ndio atoe hizo kauli??