Vaticano
Member
- Sep 18, 2010
- 75
- 0
MM, unaota au? nani amekuambia JK atapita kwenye kinyanganyiro hiki cha urais? kwa taarifa yako tu huyu Bw hafiki kokote, na siku ya uchaguzi hatopiga kura kwani hatakuwa nje ya nchi kwa dharura.
Labda hizo kura ziwe zinapigwa kwenye ukumbi huu wa JF tu.