JoJiPoJi
JF-Expert Member
- Aug 8, 2009
- 2,907
- 3,261
huu ni usanii tu wa kiongozi mkuu wa nchi, hakuwa na sababu ya kutoa hii mail address, yeye asubiri tu maswali ya moja kwa moja na sio hadi apewe maswali ayafute mengine ndio aje kutujibu, pia ningependa kumuona mzee mwanakijiji naye akishiriki katika kuuliza maswali pale tbc 1