mnasikia hiyo eti kikwete anasema tuwaepuki viongozi wa siasa wanaotaka kuwatumia wananchi kujinifaisha je haya yako sahii ndugu zangu huyu anayoyazunggumza huyu kwere
Kikwete angalau anaweza kuacha kumbukumbu ya katiba mpya ambayo itakuwa ni 'remarkable' kwa miaka mingi ijayo....lakini.,kwa nini hii 'cabinet' yake inaonesha mgawanyiko na hakuna ile 'oneness' tuliyoitegemea kama timu iliyo chini kocha mmoja yani rais? Hii inanipa hofu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.