Independent Voter
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 279
- 71
samahani...
naona hii move ni hcanga la macho tu, huwa hasikilizi watu
yani we jamaa kila jambo ni la lazima uwe mpinzani tu,anywayz bwana pengine na wewe huo ndio ulemavu wako maana inasemekana kila binadamu anakilema fulani