Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
ni mwaka huu tu ndugu wewe si uliniacha mwaka mmoja ulipohitimu mwaka jana tena wewe si ndio ulipata first class !!
Hata ungepata distinction utabiri wako hautufai...
ni mwaka huu tu ndugu wewe si uliniacha mwaka mmoja ulipohitimu mwaka jana tena wewe si ndio ulipata first class !!
MAMA POROJO, vipi ile mahakama yenu mtaiingiza kwenye katiba?
Hatimaye Mchakato wa kuandika Katiba mpya umechukua sura mpya baada ya Rais kuitisha wadau mbali mbali kupeleka majina ya watu wenye sifa ili awateue.
Source: Chanel Ten.
kutoka Ccm ni, Ridhwan Jk, Khallifa Jk,na Mwanaasha Jk.CDM wapeleke majina ya Lissu,Marando au Baregu.Mtizamo wangu
CHADEMA pelekeni Tundu Lissu peke yake.
kutoka Ccm ni, Ridhwan Jk, Khallifa Jk,na Mwanaasha Jk.
Ni uamzi mzuri utakaosaidia kuondoa malalamiko kutoka kwa waliozoea kulalamikia kila kitu!
Kaka lini ulihitimu chuoni kwa marehem yahya husein?
Msekwa ndio ameandika hii ya sasa, screw himpius msekwa anafaa sana pia uzoefu wake utasaidia,