Kikwete kwenye Tanuru: Kujaribiwa kwa Kiongozi

Ndio maana huwa nasema MM Mwanakijiji ni mtu anaefikiri ktk kiwango cha kutisha.Tutakuja laumiwa na vizazi vijavyo vikisoma mawazo ya huyu mtu kwa kutompa nafasi kuimplement mawazo yake!
 
Kuna tatizo la msingi katika uongozi wetu!
Mkuu Mzee Mwanakijiji, "yes indeed kuna tatizo katika uongozi wetu", we had a choice!, that what we choose!. "Choose your Love, and Love your Choice"!. We choose the problem, we have to love it, its our choice!"
Long Live Kikwete!, Long Live CCM!. It was our choice!, call it what you may, be it "NEC choice", or "uchakachuaji"!, that is it!, our choice!. We have to love it!.
 
Mkuu Mzee Mwanakijiji, "yes indeed kuna tatizo katika uongozi wetu", we had a choice!, that what we choose!. "Choose your Love, and Love your Choice"!. We choose the problem, we have to love it, its our choice!"
Long Live Kikwete!, Long Live CCM!. It was our choice!, call it what you may, be it "NEC choice", or "uchakachuaji"!, that is it!, our choice!. We have to love it!.

Pasco,

..we don't have to love our choice, especially if it is beyond reasonable doubt that it is a wrong choice.

..however, we have to own up to our mistakes, and live with our choice.
 
Kumbukeni Dr. Mponda alisha
andika barua ya kujiuzuru inasemekana JK alimwambia atulie tu huu ni upepo unavuma tu

Kwa kuwa kikwete ni Mnafiki inawezekana hili akalifanya.

Tatizo ni kwamba Tanzania ina rais asiyekuwa na maamuzi.
Mimi sikumbuki kama kitwete ameishawahi kufanya uwamuzi wowote akausimamia.
Kama upo naomba nijulishwe wadau !
 
Nilisema hivi:

Kama huo ni mfano basi tutarajie Rais Kikwete kuwaita majina ya ajabu madaktari. Bado tunakumbuka jinsi Waziri Mkuu mara ya kwanza alipoamua kumuita jina baya (demonize) Dr. Ulimboka na kumdunisha mbele ya jamii. Safari hii kuna uwezekano wa madaktari wote kujaribiwa kufanywa duni na kuitwa “waongo, wanafiki” na kama tumesikia maneno ya karibuni basi “hawana utu, siyo wazalendo, na hawajali viapo vyao”. Yote haya yatafanyika katika kuhalalisha hoja kuwa serikali haijafanya makosa na haipaswi kulaumiwa kwa yanayotokea.


Akichagua njia hiyo manake ni kuwa madaktari watatakiwa kurudi kazini “mara moja” na vitisho vingi – baada ya historia ndefu itakayokuwa inashangiliwa na wazee walioalikwa. Hapa atapata ushujaa wa muda na sifa za kitambo; tatizo la msingi litakuwa halijatatuliwa.

ooh jinsi ambavyo historia inapopuuzwa inakuwa na tabia ya kujirudia rudia!
 
Back
Top Bottom