Kikwete kwenye Tanuru: Kujaribiwa kwa Kiongozi

Kama aliweza kuwazima wale wengine kabla ya uchaguzi hii ni rahisi sana kwa mheshimiwa...
 
Miye natarajia hivyo lakini pia naombea kuwa for once atakubali kuwajibika yeye mwenyewe na kulimaliza hili baada ya kuwalilia madaktari kwa kuwafukuza kina Nkya na Mponda. Njia nzuri ni kulia "madaktari wameshindwa kuonesha utu, ndugu zangu kwa kweli tumejitahidi sana, lakini madaktari hawataki. Sasa sisi tumefanya kila lililo ndani ya uwezo wetu kutatua mgogoro lakini wenzetu hawa wameamua kugoma. Imebidi hadi twende mahakamani, na sasa mahakama imeamuru warudi sasa na mimi nasema warudi; wasiporudi kwa kweli kabisa itabidi tuwafukuze na kama kuanza upya tutaanza upya. Wametaka mawaziri hawa waondoke miye nimekubali. Sasa basi warudi kazini". .

Rais ameshastukia janja yenu, mnataka akubali kumfukuza Nkya na Mponda halafu mseme rais hana akili amesikiliza pressure za madaktari, hilo halitatokea.
 
One thing for sure, ni whatever the path he may choose, Watanzania wata rally behind their beloved president!. Kwa avarage Tanzanians, uamuzi wowote wa rais wao ndio the right decision no matter what!.
!.

No one want to hear the bad news but it is good to hear the bad news! Hao average Tanzanians unaosema wata-rally behind thier beloved president wako wapi? Mbeya? Arusha? Mwanza? Songea?

Times have changes Pasco na kiini cha matatizo tuliyonayo ni kwakmba viongozi wetu bado wanadhani wanaongoza watu wa SLP! They are out of touch na maoni kama yako haitawasaidia hata kidogo. Kama unataka kuwaokoa basi waambie ukweli na sio kupaka rangi mambo yaliyo wazi.
 
Kama aliweza kuwazima wale wengine kabla ya uchaguzi hii ni rahisi sana kwa mheshimiwa...
Unatia huruma sana kuwa tarumbeta la wenzako ambao wako kwenye Land cruiser V8 saa hizi, wewe ni sawa na condom tu, ni wa kutupwa tu baada ya kutumiwa. pole sana.
 
Hivi huyu bwana mkubwa hawezi kubuni jukwaa jipya la kuongelea mambo nyeti ya kitaifa kuliko hilo la ku-copy na ku-paste enzi za mwalimu.Unaweza kuwa na jeshi zuri na ukashindwa vita.
 
Kumbukeni Dr. Mponda alisha andika barua ya kujiuzuru inasemekana JK alimwambia atulie tu huu ni upepo unavuma tu
 
Rais ameshastukia janja yenu, mnataka akubali kumfukuza Nkya na Mponda halafu mseme rais hana akili amesikiliza pressure za madaktari, hilo halitatokea.

Nyie ndo mnao mpa ushauri rais mbovu, damu za wanao kufa zipo mikononi mwenu mpaka kwa mkuu wa nchi
 
Pasco tuombe radhi Watanzania kwa kutukejeri kwamba sisi ni wajinga wa viwango hivi, kwamba Mswahili yeyote anaweza akatulisha porojo za kikupumbavu!
Ungeeleweka kama ungesema wazee wa CCM wao ndio watamsupport Kikwete maana ile mishipa yao ya fahamu ilishakufa miaka mingi iliyopita.
Wee JB Wiser, ustake kuntibua!. Kwani JK kawekwa pale na nani?. Hao unaowaita wajinga na wapumbavu ndio Watanzania wenyewe na wewe ukiwepo!.

Tena unaweza ukakuta wewe ni mmoja wa wajinga wakuu na wapumbavu wakubwa kabisa ambao hawakupiga kura kumwajiri JK bila sababu za msingi, unabaki kazi kulalamika na kichekesho kikubwa zaidi au ujinga na upumbavu mkubwa zaidi utakuja 2015 Watanzania sisi sisi tutakapo waajiri tena watu wale!.
 
  • Thanks
Reactions: ral
Tatizo kubwa serikali inauangalia huu mgomo wa madaktari in isolation. Jambo ambalo hawataki kujua ni kwamba huu mgomo ni kielelezo tosha cha jinsi watanzania wa sasa wanavyokinai na uongozi dhaifu.

Jambo rahisi na la wazi kama la madai ya madaktari serikali inashindwa kutatua? Wataweza nini? Karibu sekta zote wafanyakazi wamechoka, kuanzia polisi, walimu, na hata kwenye serikali kuu watu hawana ari ya kazi hata kidogo. Na jinsi serikali inavyozidi kujivuta ndio watu wanazidi kukinai.
 
Wee JB Wiser, ustake kuntibua!. Kwani JK kawekwa pale na nani?. Hao unaowaita wajinga na wapumbavu ndio Watanzania wenyewe na wewe ukiwepo!.

Tena unaweza ukakuta wewe ni mmoja wa wajinga wakuu na wapumbavu wakubwa kabisa ambao hawakupiga kura kumwajiri JK bila sababu za msingi, unabaki kazi kulalamika na kichekesho kikubwa zaidi au ujinga na upumbavu mkubwa zaidi utakuja 2015 Watanzania sisi sisi tutakapo waajiri tena watu wale!.

Kikwete kwa hakika amewekwa madarakani na hawa wafuatao:
Rajabu Kiravu, Lewis Makame na Usalama wa Taifa, ninakubali inawezekana kabisa mimi ni mpumbavu ila mpumbavu zaidi na zuzu wa kwanza ni yule anayeiaminisha nafsi yake kwamba Lowasa anaweza kuja kuwa Rais wa nchi hii!! huyo ni mjinga kabisa tena anaishi katika pepo ya mabweke kwenye nchi ya kusadikika. Pasco!!??
 
Nionavyo mimi angefanya hivyo siku nyingi watu wetu wasingepoteza maisha kiasi hicho. La mgambo likilia ujue kuna jambo
:crazy:
 
Kikwete kwa hakika amewekwa madarakani na hawa wafuatao:
Rajabu Kiravu, Lewis Makame na Usalama wa Taifa, ninakubali inawezekana kabisa mimi ni mpumbavu ila mpumbavu zaidi na zuzu wa kwanza ni yule anayeiaminisha nafsi yake kwamba Lowasa anaweza kuja kuwa Rais wa nchi hii!! huyo ni mjinga kabisa tena anaishi katika pepo ya mabweke kwenye nchi ya kusadikika. Pasco!!??

Watanzania 4m ndo wamemweka madarakani JK kwa mujibu wa ajabu Kiravu, Lewis Makame na Usalama wa Taifa.
 
Kikwete haambiliki wala habadiliki.
Style ya kuongea ya kuongea na wazee maswala yanauohusu watu wengine ni dhahiri kwamba anachpkwenda kuongea ni majungu, fitna na uwongo ambao hawezi kuuongea mbele ya madaktari.

Huyo ndo Kikwete wa Lugoba.

Uko sawa kabisa, kama ingekuwa ni kuwajibika au kuwawajibisha hao mawaziri asingetumia kikao hicho cha wazee! hapo ni kwenda kuwananga madaktari, kutafuta huruma na kujikosha tu!!!
 
Ushauri wangu tu kwa wanaomezea mate Ikulu wasubiri 2015 kutakuwa na uchaguzi mwengine huru kila mmoja ataleta sera zake na sisi wananchi tutaamua.
Au kama 2015 mbali endeleeni kuomba dua tu wabunge wa CCM wafe ili muwe bize kwenye chaguzi ndogo.:scared:
 
Tatizo kubwa serikali inauangalia huu mgomo wa madaktari in isolation. Jambo ambalo hawataki kujua ni kwamba huu mgomo ni kielelezo tosha cha jinsi watanzania wa sasa wanavyokinai na uongozi dhaifu.

Jambo rahisi na la wazi kama la madai ya madaktari serikali inashindwa kutatua? Wataweza nini? Karibu sekta zote wafanyakazi wamechoka, kuanzia polisi, walimu, na hata kwenye serikali kuu watu hawana ari ya kazi hata kidogo. Na jinsi serikali inavyozidi kujivuta ndio watu wanazidi kukinai.

Unajua nakumbuka Gaddafi aliposimama siku moja wakati mapinduzi yanaendelea na kusema "My people love me, they will die for me"! Ni kweli kabisa kuwa hawaelewi kabisa kwanini watu wanawapinga! Na tusipoangalia hili tunaweza kuliona leo. Ataelezea "mazuri" yote wanayofanya na "jitihada" zote za serikali kutatua "mgogoro" na ataonesha kuwa oblivous na yote ambayo yanatokea nchini sasa hivi! NI kana kwamba itakuwa kama watu wanaionea serikali na kuwa hawaappreciate mambo mengi ambayo ameyafanya na serikali inafanya hasa kutokana na ukata uliopo sasa hivi.
 
naamini yupo humu JF anadesa ya kuwaambia wazee, hali mbaya wakuu sitegemei kama atazingua, tuwe watulivu
 
Kwa jinsi historia inavyomuhukumu JK, ni kuwa yeye ni mtu wa kufanya the opposite, hata anapopelekewa mapendekezo mazuri. Ukimpatia Hotuba nzuri na yenye mapendekezo mazuri kama hii ya Mzee Mwanakijiji, yeye atafanya otherwise. Ule mfano wake wa mbayuwayu ...... changanya na zako, ndio falsafa yake halisi.

Leo natamani, awe ameandaliwa hotuba yenye mapendekezo mabaya, labda akichanganya na zake, atafanya haya aliyopendekeza MM hasa kwenye kukiri udhaifu wa Serikali yake na kuwajibika mwenyewe
 
Unatia huruma sana kuwa tarumbeta la wenzako ambao wako kwenye Land cruiser V8 saa hizi, wewe ni sawa na condom tu, ni wa kutupwa tu baada ya kutumiwa. pole sana.

Enough of shouting, now tell us your views.
 
Bila saha washauri wake wameshayasoma haya pia. Sasa msikosee kumshauri tena. Leo ndiyo karata ya mwisho kwa wananchi kuendelea kuwa na imani na serikali yetu.
 
Back
Top Bottom