Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
Nimeshuhudia Viongozi wengi duniani wanapimwa uwezo wa kuwajali wananchi kwa kuwa makini kushughulikia kero mbalimbali za dharura kama mafuriko kama yaliyotokea Kilosa na kwengineko, mauaji Arusha nk.
Naona muhimu kwake kufanya tafrija Ikulu na kuhudhuria party ya kuzaliwa Waziri wa Zamani Msuya kuliko kwenda kuwajulia hali aliowajeruhi Arusha.