vicenttemu
Member
- Nov 16, 2010
- 43
- 0
Aaahh! Eti amepanda bembea, akiwa mdogo au? Kama ni akiwa kiongoz basi hapa shida tupu.! Yaani badala ya kuumiza kichwa jinsi ya kutatua shida za Watz anapanda bembea? Lakin uongozi mlimpa ninyi wenyewe. Mwachen ale gud tym! Wasaidizi wapo watachapa kazi