Hiyo siyo nadharia yako ila mwl nyerere..alisema hayo kwenye maongezi yake...kama amekuwa yahaya na yeye sijui!
Hata ikiwa hivyo wewe mtanganyika inakuhusu nini? ombeni na nyinyi kusitokee mwanza zone and kilimanjaro zone damn!
Kidole kimoja hakivunji chawa.Umoja ni Nguvu na Utengano ni dhaifu. Wazanzibari wanashangilia kufa kwa muungano lakini hawajui baada ya hilo fungate ni mateso. Yani hawa jamaa wananifananisha na wakati wa Musa na Waisraeli kule jangwani. Kwamba bora usultani kuliko kwenda nchi ya maziwa na asali. Tumaini naona unajiandaa kurudi kwenye zama za makuli na kufuta dhana ya Shafi Adamu Shari kwenye kitabu chake cha KULI.