Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,460
- 39,928
Mojawapo ya hofu nilizonazo ni kuwa Kikwete hatimaye anaweza kuwa Gorbachev wetu. Yawezekana akaja na mawazo ya Perestroika anapotaka kugombea mara ya pili na watu wakakubali na matokeo yake itakuwa ni kuvunjika kwa Muungano wetu.
Kama Gorbachev sidhani kama atakuwa na ujasiri wa kutumia nguvu kuzuia kumeguka kwa muungano au kama ana ujuzi wa kisiasa kuimarisha Muungano. Hadi hivi sasa ni wazi kuwa suala al Muungano analiona ni gumu mno kiasi cha kushindwa hata kujaribu kulirekebisha na matokeo yake yeye na CCM wanaamua kutafuta "the path of least resistance" a.k.a referendum.
Kuna watu hata hivyo wanamuona Gorbachev shujaa na wanamshukuru kwa maamuzi yake; na kuna watu (kama kina Putin) ambao wamesimama na kurudisha ukutufu wa yule "Dubu" wa Ulaya Mashariki.
Hili swali bado natafuta jibu lake kwani pande zote mbili naweza kuziona kinadharia.
Kama Gorbachev sidhani kama atakuwa na ujasiri wa kutumia nguvu kuzuia kumeguka kwa muungano au kama ana ujuzi wa kisiasa kuimarisha Muungano. Hadi hivi sasa ni wazi kuwa suala al Muungano analiona ni gumu mno kiasi cha kushindwa hata kujaribu kulirekebisha na matokeo yake yeye na CCM wanaamua kutafuta "the path of least resistance" a.k.a referendum.
Kuna watu hata hivyo wanamuona Gorbachev shujaa na wanamshukuru kwa maamuzi yake; na kuna watu (kama kina Putin) ambao wamesimama na kurudisha ukutufu wa yule "Dubu" wa Ulaya Mashariki.
Hili swali bado natafuta jibu lake kwani pande zote mbili naweza kuziona kinadharia.